Mento Remix Lyrics by BANDO


Mzee nimekuwa mtoto natambaa
Nyumba imewaka moto sina pakukaa
Yale yaliokuwa ndoto nayaona live
Ex kaa kushoto Kata simu tuko site
Tumebanana tuko taiti
Nisex ,ganja na nyama the whole night
Mapenzi kupambana tuna vibles
Mambo fresh baby mama twende left and right

Kama dozi we kwinini (kwako ni mento)
Wanawaza tuachane lini  (nimeshaseto )
Tunawakata ndimi  (mpaka kesho)
Onana onana bebi (we special)
Kwanza tuna match, wengi wana ntatalila wengi wanatantalila
Usinipige bench wengi wanatantalila wengi wana tantalila

Chakwanza unanishangaza
Pili unanikoleza ooh baby ntakuweka kwenye bango nitangaze
Vikopakopa umejaza udambwi dambwi chombeza
Ooh baby ntakumilikisha akili uitawale
Kwako mi ni (me!! Me!!mento )
Kwako mi ni (me!!me!!mento)
Kwako mi ni (me!!me!!mento)
Kwako mi nimento baby oooh

Ntaambia nini waulimwengu siku ukinipiga chini
Nitaificha wapi sura yangu hapa mjini
Kuhusu michepuko mapambano umeshawini
Usishindane na sindano mama we Bonge la pini
Nishakupa chance ,nipende mpaka basi
Mpaka wanaonidiss siku moja watu discuss
Nakupa. A Max ,ma ex sasa basi
Watanyoosha maelezo bila kutumia pasi

Kama dozi we kwinini (kwako ni mento)
Wanawaza tuachane lini (nimeshasettle)
Nawakata ndimi (ukiibuka geto,unawapa joto,wape na lesso)
Kwanza tuna match, wengi wana ntatalila wengi wanatantalila
Usinipige bench wengi wanatantalila wengi wana tantalila

Chakwanza unanishangaza
Pili unanikoleza ooh baby ntakuweka kwenye bango nitangaze
Vikopakopa umejaza udambwi dambwi chombeza
Ooh baby ntakumilikisha akili uitawale
Kwako mi ni (me!! Me!!mento )
Kwako mi ni (me!!me!!mento)
Kwako mi ni (me!!me!!mento)
Kwako mi nimento baby ooh

Nishazifunga mboni bebe (bebe)
Nipo kwa bedi njoo ni bebe (bebe)
Mtoto kashasimama dede (dede)
Njoo Urambe corn bebe (bebe)
Na ahidi niwe nawe milele,naahidi niwe nawe milele
(Shytown boy)

Watch Video

About Mento Remix

Album : Mento Remix (Single)
Release Year : 2022
Added By : Farida
Published : Nov 01 , 2022

More BANDO Lyrics

BANDO
BANDO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl