Fanya Lyrics by BAHATI


 

Aaaah Danny Gift mara tena
Na Bahati tena, tena

Najua leo utafanya(fanya)
Kuliko ulivyo fanya jana(fanya)
Fanya fanya
Fanya fanya eeeh 

Najua leo utafanya(fanya)
Kuliko ulivyo fanya jana(fanya)
Fanya fanya
Fanya fanya 

Nina madeni hadi kwa mama mboga
Nina madeni haki leo katanuka
Vile naona, kashaanza kunuka
Usiposhuka, baba leo katanuka(fanya)

Natumia storo, bonga
Kusema vile we ni donga
Na beat vile inagonga
Hebu sifika kwa hii ngoma

Natumia storo, bonga
Kusema vile we ni donga
Na beat vile inagonga
Hebu sifika kwa hii ngoma

Natumia storo, bonga
Kusema vile we ni donga
Na beat vile inagonga
Ebu sifika kwa hii ngoma

Najua leo utafanya(fanya)
Kuliko ulivyo fanya jana(fanya)
Fanya fanya
Fanya fanya eeeh

Najua leo utafanya(fanya)
Kuliko ulivyo fanya jana(fanya)
Fanya fanya
Fanya fanya 

Nikikuona ata shida zitaona
Nikikuona na vipofu wataona
Nikikuona ata shida zitaona
Nikikuona na wagonjwa watapona
Baba fanya(fanya)

Natumia storo, bonga
Kusema vile we ni donga
Na beat vile inagonga
Ebu sifika kwa hii ngoma

Natumia storo, bonga
Kusema vile we ni donga
Na beat vile inagonga
Ebu sifika kwa hii ngoma

Najua leo utafanya(fanya)
Kuliko ulivyo fanya jana(fanya)
Fanya fanya
Fanya fanya eeeh

Najua leo utafanya(fanya)
Kuliko ulivyo fanya jana(fanya)
Fanya fanya
Fanya fanya 

Najua leo utafanya(fanya)
Kuliko ulivyo fanya jana(fanya)
Fanya fanya
Fanya fanya 

Najua leo utafanya(fanya)
Kuliko ulivyo fanya jana(fanya)
Fanya fanya
Fanya fanya 

 

Watch Video

About Fanya

Album : Fanya (Single)
Release Year : 2019
Copyright : All rights to the owner.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 11 , 2019

More BAHATI Lyrics

BAHATI
BAHATI
BAHATI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl