Kiuno Lyrics by B CLASSIC 006


Emoji za makopa, ulivyochumbuka ka ushazama
Hupendi mambo na kumoka hupo kama umeshushwa jana
Mama nikupe chambo, kula samaki kanasa kwa chambo
Moja baridi mwanzo, shela kukuvisha sio kikwazo

Najua nakufollow follow kwako nimechizika
Sitaki niwe solo, solo kwako mi nabambika
Nifanye tuongee hunnie, haka kamoyo kwangu nitakupea
Nikuite sweetie hunnie, nikutunze kama mtetea

Napenda unavyokata kiuno, mmmh mauno
Napenda unavyorudi mauno, mauno
Napenda unavyokata kiuno, mmmh mauno
Napenda unavyorudi mauno, mauno

Ananipa panadol, panadol
Kifua ka kipago, kipago
Katoto ka miligado, migado
Kama mechi za kinyago, kinyago

My babe nikupe show za jang'ombe
Hicho kiuno kama mmakonde
Jipare twende out mama tukatambe
Ule wali mi nile magande

Your body fine wacha nikuhonge ngoro
Ayee nikuhonge ngoro
Ndo mi nalike umekuwa kama coach
Ayee umekuwa kama coach

Nifanye tuongee hunnie, haka kamoyo kwangu nitakupea
Nikuite sweetie hunnie, nikutunze kama mtetea

Napenda unavyokata kiuno, mmmh mauno
Napenda unavyorudi mauno, mauno
Napenda unavyokata kiuno, mmmh mauno
Napenda unavyorudi mauno, mauno

Baby na masafa mie 
Nipe papa pako nining'inie
Ongeza mazaga mule kitunguu kachumbari nile
Ukipiga kimini unakaa poa 
Unajua nina wivu mwenzako
Wasije wakakuteka, wasije wakakuteka

Napenda kauli yako baby 
Umesema mi ni wako tu
Wengine watasubiri daily
Wakingoja mi uniwache tu

Nifanye tuongee hunnie, haka kamoyo kwangu nitakupea
Nikuite sweetie hunnie, nikutunze kama mtetea

Napenda unavyokata kiuno, mmmh mauno
Napenda unavyorudi mauno, mauno
Napenda unavyokata kiuno, mmmh mauno
Napenda unavyorudi mauno, mauno

Watch Video

About Kiuno

Album : Kiuno (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : May 14 , 2021

More B CLASSIC 006 Lyrics

B CLASSIC 006
B CLASSIC 006
B CLASSIC 006
B CLASSIC 006

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl