Nakudai Lyrics by ANGRY PANDA CLAN


Angry Panda under Mickey aii

Venye umenibamba jo manze nakucheki
Leo katatamba lazima nikuteki
Kam tu kwa keja mi nikupige deki
Leo nakudai, leo nakudai

Venye umenibamba jo manze nakucheki
Leo katatamba lazima nikuteki
Kam tu kwa keja mi nikupige deki
Leo nakudai, leo nakudai

Msupa usiogope nakushow karibia
Si lazima nikope naweza kuibia
Ata kama ni ngima bado nitaadisia
Ju niko na maplans zinaweza kusaidia

Sina damu ya ufisi nakuwanga ule boy
Wakileta ubishi nitawaacha hoi
Achana na vidole achana na matoy
Mi naweza kupiga rungu mpaka uniite Moi

Nataka nikupende ndo tukuwe successful
Na usinitende usiwe ungrateful
Mi nataka twende mashambani nyumbani
Kejani kwa baba na mama jamani

Stingo ya upanga usinipige makata
Mauno ya nyoka napenda unavyokata
Macho za bano napenda unavyong'aa
Huku nyuma umejibeba hadi mimi nashangaa

Venye umenibamba jo manze nakucheki
Leo katatamba lazima nikuteki
Kam tu kwa keja mi nikupige deki
Leo nakudai, leo nakudai

Venye umenibamba jo manze nakucheki
Leo katatamba lazima nikuteki
Kam tu kwa keja mi nikupige deki
Leo nakudai, leo nakudai

Ni ka fine ting ati kanaitwa Nila
Kakipita mtavunja shingo ju ya thutha
Kamenyooka utadhani kanauzanga matunda
Ai aii mi nikamkuta

Si ni one time kukapiga kiswahili
Nakapiga lugha utadhani tuko wawili
Niite husband juu nitakufanya bibi
Watoi nao God atubless na wawili

Mi stambui kule unaishi
Bora mi ni wako we ni wangu ibaki wametii
Ata stadi nitajenga mami 
Juu vile ninadai ukidai tunapiga mechi

Bora u-cooperate na uniseti
Nitakupenda kuliko Otieno na neti
Roho yangu we ni mainchic hupigi seti
Kuwa wangu mami ju enyewe

Venye umenibamba jo manze nakucheki
Leo katatamba lazima nikuteki
Kam tu kwa keja mi nikupige deki
Leo nakudai, leo nakudai

Venye umenibamba jo manze nakucheki
Leo katatamba lazima nikuteki
Kam tu kwa keja mi nikupige deki
Leo nakudai, leo nakudai aaiii

Watch Video

About Nakudai

Album : Nakudai (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019 Angry Panda Clan
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 23 , 2019

More ANGRY PANDA CLAN Lyrics

ANGRY PANDA CLAN
ANGRY PANDA CLAN

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl