ABDUKIBA R.I.P Magufuli Baba cover image

R.I.P Magufuli Baba Lyrics

R.I.P Magufuli Baba Lyrics by ABDUKIBA


Hey yeah, yea...John Pombe

Eeh Mungu baba wa taifa la leo
Tunayekuabudu umetuachia kilio, lio
Siwezi sema nikisema sana nitakufuru (Mi nitakufuru)
Hata maandiko yanasema we ni zaidi ya nuru

Na unalolipanga hakuna wa kupangua
Yoyote umtakae Baba we unamchukua
Inaniuma sana nikikumbuka babu Magu
Mi nawaza sana nakosa majibu, jibu

Mi nikitazama sana fly over za juu kwa juu
Usemi wa mama rais Magu ana viwango vya juu

Leo hatunaye tena, baba baba, babaa
Rais Magufuli, baba baba baba
Mtetezi wa wanyonge baba baba
Umetuachia kilio, baba baba
Daima tutakukumbuka

Kaza moyo Janet Magufuli nakupa pole
Mama Samia Suluhu
Kaza moyo funga mkanda, ujikaze nganga nganganga
Kupeperusha bendera ya Tanzania

Hivi ni nani atakayeziba pengo la babu
Hivi ni nani ziba pengo sioni
Na dua tunakuombea, pumzika salama 
Na dua tunakuombea, pumzika salama babu
Na dua tunakuombea
Na dua tunakuombea, pumzika salama Magu


Mi nikitazama sana fly over za juu kwa juu
Usemi wa mama rais Magu ana viwango vya juu

Leo hatunaye tena, baba baba, babaa
Rais Magufuli, baba baba baba
Mtetezi wa wanyonge baba baba
Umetuachia kilio, baba baba
Daima tutakukumbuka

Pumzika kwa amani John Joseph Magufuli

Watch Video

About R.I.P Magufuli Baba

Album : R.I.P Magufuli Baba (Single)
Release Year : 2021
Copyright : © 2021 Kings Music
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 19 , 2021

More ABDUKIBA Lyrics

ABDUKIBA
ABDUKIBA
ABDUKIBA
ABDUKIBA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl