Matiati Lyrics by ZZERO SUFURI


Kwani niaje bado hujaskia ati ati
Tingisha hizo mara matia tia ti
Mikono juu ka unapenda matia tia tia
Right, left ati ati

Kwani niaje bado hujaskia ati ati
Tingisha hizo mara matia tia ti
Mikono juu ka unapenda matia tia tia
Right, left ati ati

Si napenda vile muda unayoyoma
Si ni kama gode vile inakuchoma
Si ni kama mbuku rada nishasoma
Bado huto tutoto tupoa poa bado natuona

Eeeh mahali niko huwezi uliza swali mtu
Hapa kila mtu ako na kutu
Shika wako mi nishike wangu mutu eeeh
Acha kipusa basi mi nikubusu

Ati kam tuzitoke, tudance adi shoke
Na usiogope, mdogo tuziondoke
Mkate msake, nipate njote
Nai hadi coste, mi washa ni note

Nakuwanga fete, twende twendete
Shaka machete, jibambe usitete
Si, leo ni siku yako mami
Kam tukawatoke tukakule kingwai
Na bado ukinijenga sitabaki ati ati ati

Kwani niaje bado hujaskia ati ati
Tingisha hizo mara matia tia ti
Mikono juu ka unapenda matia tia tia
Right, left ati ati

Kwani niaje bado hujaskia ati ati
Tingisha hizo mara matia tia ti
Mikono juu ka unapenda matia tia tia
Right, left ati ati

Ati ati ati ati ati
Tingisha hizo mara matia tia ti
Rombosha ka uko nazo matia tia tia..
Matia tia tia..

Tingisha hizo mara matia tia ti
Rombosha ka uko nazo matia tia tia..
Matia tia tia..

Cheki, mambo Lucy napenda hako ka pussy
Kakue ka brown sanasana tu keusi
Kako na tunywele tusoft ka tausi
Ni karefu sana mi hukapimaga na uzi na 

Venye kuna joto si ukatoe ndani ya kamisi
Najua kanasikia njaa, hakajabonya toka juzi
Mi ndio nawezana, hao wengine jo ni upuzi
Eeeh, hao wengine cheki

Ati ni ngware ngware mdogo mdogo nikipiga bag
Kamsupa kakakam kakadai kahug
Kakadai nimpige maji mpaka ijae kwa jug
Mdogo mdogo tukicheki movie ya Snoopie Dog

Cheki, kwani niaje bado hujaskia ati ati
Tingisha hizo mara matia tia ti
Mikono juu ka unapenda matia tia tia
Right, left ati ati

Kwani niaje bado hujaskia ati ati
Tingisha hizo mara matia tia ti
Mikono juu ka unapenda matia tia tia
Right, left ati ati

Si napenda vile muda unayoyoma
Si ni kama gode vile inakuchoma
Si ni kama mbuku rada nishasoma
Bado tutoto tupoa poa bado natuona

Eeeh mahali niko huwezi uliza swali mtu
Hapa kila mtu ako na kutu

Watch Video

About Matiati

Album : Matiati (Single)
Release Year : 2019
Copyright : All rights to the owner.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jul 14 , 2019

More ZZERO SUFURI Lyrics

ZZERO SUFURI
ZZERO SUFURI
ZZERO SUFURI
ZZERO SUFURI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl