WILLY PAUL Poromoka  cover image

Poromoka Lyrics

Poromoka Lyrics by WILLY PAUL


Congratulations, kwa kufanya wanaume hawalali
Congratulations, kwa kufanya wanaume wakose amani
Twende nikumake usimame, coz baby you are so fine
Baby do you know you blow my mind
Oh baby girl you are so fine

Girl you dey burst my mind oh
You make me go kakololo
Your body fine like wine girl
Una nyuma na manengo

Congratulations, kwa kufanya wanaume hawalali
Congratulations, kwa kufanya wanaume wakose amani
He he hey....kwa kufanya wanaume hawalali
He he hey.... kwa kufanya wanaume wakose amani

Uko na nini mama, tunaporomoka
Kwa urembo wako mama, tunaporomoka
Kwani we ni nani, tunaporomoka
Unajiweza sana, tunaporomoka

Uko na nini mama, tunaporomoka
Kwa urembo wako mama, tunaporomoka
Kwani we ni nani, tunaporomoka
Unajiweza sana, tunaporomoka

The way your body been unatuconfuse
Ah unatuseduce
Mama kidogo reduce, coz unatuconfuse

Na baby ukinipea nitang'ang'ana
Aii nitang'ang'ana
Hapa kazini nashindwa
Nipee hata kwenye kiti
Oh nimeshindwa kidogo nilambe
Uliumbwa na maji ya moto
Baby we moto, na huna tabia mbaya
Uko sawa mama 

Congratulations, kwa kufanya wanaume hawalali
Congratulations, kwa kufanya wanaume wakose amani
He he hey....kwa kufanya wanaume hawalali
He he hey.... kwa kufanya wanaume wakose amani

Uko na nini mama, tunaporomoka
Kwa urembo wako mama, tunaporomoka
Kwani we ni nani, tunaporomoka
Unajiweza sana, tunaporomoka

Uko na nini mama, tunaporomoka
Kwa urembo wako mama, tunaporomoka
Kwani we ni nani, tunaporomoka
Unajiweza sana, tunaporomoka

Unafanya nawashwa mpaka kwenye nini
Unafanya ah nijikune mama
Unafanya nawashwa mpaka kwenye nini
Unafanya ah nijikune mama

Unafanya nawashwa mpaka kwenye nini
Unafanya ah nijikune mama
Unafanya nawashwa mpaka kwenye nini
Unafanya ah nijikune mama

Congratulations, kwa kufanya wanaume hawalali
Congratulations, kwa kufanya wanaume wakose amani
He he hey.... kwa kufanya wanaume hawalali
He he hey.... kwa kufanya wanaume wakose amani

Uko na nini mama, tunaporomoka
Kwa urembo wako mama, tunaporomoka
Kwani we ni nani, tunaporomoka
Unajiweza sana, tunaporomoka

Unafanya nawashwa mpaka kwenye nini
Unafanya ah nijikune mama
Unafanya nawashwa mpaka kwenye nini
Unafanya ah nijikune mama

Watch Video

About Poromoka

Album : The African Experience (Album)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 14 , 2021

More lyrics from The African Experience album

More WILLY PAUL Lyrics

WILLY PAUL
WILLY PAUL
WILLY PAUL
WILLY PAUL

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl