Njiwa Lyrics by WILLY PAUL


Wily wily wily willypozee
Na nandy dandy
Kama utaenda angalia pa kutua
Kwenye bati au bustani ya maua
Mwambie nampenda ananisumbua
Mwambie nampenda japo kauchubua njiwa
Peleka salamu salamu zangu
Me sina khali naona mawingu
Nyota nyota mwezi kizunguzungu
Khali sio shwari haki ya Mungu
Nimeshazama kwenye penzi naweza sema nimepagawa
Mwambie sijiwezi ohhhh
Where are you 
Njiwa njiwa
Mwambie sio chakula tu hata maji me sinywi
Mpaka anatuma watu kina Jose Mbilinyi
Na hizo kauli zake tu ananikata maini
Anacheza karata tatu hata aniamini
Nimeshazama kwenye penzi waweza sema nimepagawa
Mwambie sijiwezi aje mapema anipe dawa
Nimeshazama kwenye penzi waweza sema nimechachama
Mwambie sijiwezi aje mapema anipe dawa

Watch Video

About Njiwa

Album : Njiwa (Single)
Release Year : 2018
Copyright : ©2018
Added By : Trendy Sushi
Published : Feb 12 , 2020

More WILLY PAUL Lyrics

WILLY PAUL
WILLY PAUL
WILLY PAUL
WILLY PAUL

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl