WANAVOKALI Kula Tatu  cover image

Kula Tatu Lyrics

Kula Tatu Lyrics by WANAVOKALI


Ni wakati
Wa kuachilia mambo ya kazi
Mimi huyo nishaitisha taxi
Kuna kitu kwenye hewa tonight (night)
Haya basi
Tunaenda wapi party kwa nani
Kuna drinks ama nipite maskani
Katashika katanuka tonight (night)

Location iko set
Mzinga ziko check
Madame na maboy wamekuja kuflex
DJ ako fresh
Mapeddy wanasell
Kadi tumeshuffle na ni time ya kuplay
Kula, Kula tatu
Kula, Kula tatu

Tukicheza game ya poker (Kula tatu)
Ukilishwa tatu juu ya joker
Kula macookie na makeki
Tumaji usibleki
Kabusu na kahug tu
Baby kula Tatu (Kula Tatu)

Kula, Kula Tatu
Kula, Kula Tatu
Kula, Kula Tatu
Kula

Game imefika wapi?
Nani anacheza, nani anaweka kadi? Wah!
It's shikaing my guy
It's shikaing my guy
After hii round sitajiweza walahi
But the, night is young
Bado form inadai
And the, vibe is right alright (Alright!)
Meanwhile, Mziki imeshika
Na watu wanawika
Ngoma za Wanavokali

Location iko set
Mzinga ziko check
Madame na maboy wamekuja  kuflex
DJ ako fresh
Mapeddy wanasell
Kadi tumeshuffle na ni time ya ku play
Kula Tatu, Kula
Kula Tatu, Kula

Ukicheza game ya poker (Kula tatu)
Ukilishwa tatu juu ya joker
Kula macookie na makeki (Kula tatu)
Tumaji usibleki (Pewa tatu)
Kabusu na kahug tu (Mara Tatu)
Baby Kula Tatu (Kula Tatu)  

Kula, Kula Tatu
Kula, Kula Tatu
Kula, Kula Tatu
Kula, Kula Tatu
Eat three, Wau!
Wanavokali kali kali sana

Watakubali Wanavokali
Watakubali Wanavokali
Watakubali Wanavokali
Watakubali

Watch Video

About Kula Tatu

Album : Wanavokali (Album)
Release Year : 2021
Added By : Farida
Published : Nov 18 , 2021

More WANAVOKALI Lyrics

WANAVOKALI
WANAVOKALI
WANAVOKALI
WANAVOKALI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl