Danger Dinji Lyrics by MOVAZ WAROMBOSAJI NATION


Put your hands in the air, air air air air
Put your hands in the air, air air air air
Put your hands in the air, air air air air
Put your hands in the air, air air air air

Yo gonzela gonzela hapa utapata vela
Kutoa ndinji, yeah danger dinji
Oh yo gonzela gonzela hapa utapata vela
Kutoa ndinji, yeah danger dinji

Yo gonzela gonzela hapa utapata vela
Kutoa ndinji, yeah danger dinji
Oh yo gonzela gonzela hapa utapata vela
Kutoa ndinji, yeah danger dinji

Na mangitez wako wapi zee, wako wako wako
Na mangwetez wako wapi zee, wako wako wako
Warombosaji ndo kufika dee, ndio kufika dee

Put your hands in the air, hata ka huna fare
Mi najua umelemewa hizi tricks jo zimetepwa
Mavibare tu kwa hewa mangeus na wamebeba
Hii bash jo imeweza, weza

Mi na crew tunajibamba, eeh tunajibamba
Na haka kangeus mi nadai namba, aiyayaya nadai namba
Nikikawai nitakanyoroshanga, nitakanyoroshanga
Na hio beat nimeimada, si nimeimada

Yo gonzela gonzela hapa utapata vela
Kutoa ndinji, yeah danger dinji
Oh yo gonzela gonzela hapa utapata vela
Kutoa ndinji, yeah danger dinji

Yo gonzela gonzela hapa utapata vela
Kutoa ndinji, yeah danger dinji
Oh yo gonzela gonzela hapa utapata vela
Kutoa ndinji, yeah danger dinji

Mi na mbogi tunakam thru' 
Bash ni lit, tukiwashe ndo kiburn tu
Yengs ni wengi hapa ratio yeah ni times 2
Design nabeba utadhani ni matatu

Hello ey what's your name? 
Eh waremi now plus Jane
Waiter eh please keep change
Kama vibe ni right please bump your head 
Yebo

Put your hands in the air, air air air air
Put your hands in the air, air air air air
Put your hands in the air, air air air air
Put your hands in the air, air air air air

Eeh ni kukatika tika 
Leo ni kukatika tika 
Leo ni fiesta aah, forever aah
Leo ni kuparty hakuna kwenda (Hakuna kwenda)
Leo tumekuja kuwatekanga
Mavinembe ndani ya keja wamebebanga
Leta tei leta vela tunawashanga
Washa washa washa hio kitu

Ju leo ni kuparty katika 
Leo ni kuparty after party
Leo ni kuchachi chachisha

Piano piano, me I know me I know
Cheza hio piano, piano pia
Piano piano, me I know me I know
Cheza hio piano, piano pia  

Yo gonzela gonzela hapa utapata vela
Kutoa ndinji, yeah danger dinji
Oh yo gonzela gonzela hapa utapata vela
Kutoa ndinji, yeah danger dinji

Karun ni kutesa kukompa
Ni kutesa na amapiano 
Karuni kutesa kukompa
Karunu ni ko namba, karunu ni ko namba
Karunu ni kutei nikupate umelala kitandani no hapa
Karunu ni ko namba, karunu ni ko namba
Karunu ni kutei nikupate umelala kitandani no hapa

Karunu ni ko namba, karunu ni ko namba
Karunu ni kutei nikupate umelala kitandani no hapa
Aii yebo ah yeh yeh yeh, ah yebo

Watch Video

About Danger Dinji

Album : Danger Dinji (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jul 01 , 2021

More MOVAZ WAROMBOSAJI NATION Lyrics

MOVAZ WAROMBOSAJI NATION

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl