Makuu Lyrics by TUMAINI AKILIMALI


Eeh baba niseme nini kwako
Niseme nini kwa kwako
Unayotenda ni makuu
Niseme nini kwa kwako
Unayotenda ni makuu

Umenipenda kuliko yeyote duniani
Dhamani yako baba imezidi
Niseme nini uliyotenda ni mengi Bwana
Eeh Baba umepanguza machozi yangu
Umenitoa mavumbini nashukuru Bwana
Ndio maana najiuliza mimi
Niseme nini kwako?

Niseme nini kwa kwako, unayotenda ni makuu
Niseme nini kwa kwako, unayotenda ni makuu
Niseme nini kwa kwako, unayotenda ni makuu
Niseme nini kwa kwako, unayotenda ni makuu

Ni nani asiyejua kazi za mikono yako
Unayotenda ni makuu
Umeniinua toka mavumbini
Umeniketisha na wafalme

Ni nani aliye kama wewe
Unayetenda ni makuu
Ni nani asiyejua kazi zako
Unayotenda ni makuu

Kuna wakati nilishindwa
Ukaniona Bwana ukanikumbuka
Kuna wakati machozi yalinidondoka
Bwana ukanihurumia mimi ooh

Nikitafakari ulivyonipenda Bwana
Mimi niseme nini itoshe kukueleza
Hapo ndipo nimejua
Wewe ni mwingi wa huruma
Umejaa pendo unatupenda wote Bwana

Mimi sitakuacha Bwana
Niende kwa nani?
Nitakufuata milele na milele

Niseme nini kwa kwako, unayotenda ni makuu
Niseme nini kwa kwako, unayotenda ni makuu
Niseme nini kwa kwako, unayotenda ni makuu
Niseme nini kwa kwako, unayotenda ni makuu

Niseme nini kwa kwako, unayotenda ni makuu
Niseme nini kwa kwako, unayotenda ni makuu
Niseme nini kwa kwako, unayotenda ni makuu
Niseme nini kwa kwako, unayotenda ni makuu

Watch Video

About Makuu

Album : Makuu (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 21 , 2020

More TUMAINI AKILIMALI Lyrics

TUMAINI AKILIMALI
TUMAINI AKILIMALI
TUMAINI AKILIMALI
TUMAINI AKILIMALI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl