Calvary Lyrics by TUMAINI AKILIMALI


Kalivari Kalivari kalivari, yote yalikwisha
Kalivari Kalivari kalivari, yote yalikwisha
Kalivari Kalivari kalivari yote yalikwisha

Kalivari Kalivari yote yalikwisha
(Ulibeba yote)
Kalivari Kalivari yote yalikwisha  

Kwa kupigwa kwako tumekombolewa
Kwa kusulubishwa tumekombolewa
Ulichukua masikitiko yetu
Umejitwika huzuni zetu
Ulijeruhiwa kwa makosa yetu
Kwa kupigwa kwako tuko huru

Kalivari Kalivari kalivari, yote yalikwisha
Kalivari Kalivari kalivari, yote yalikwisha
Kalivari Kalivari kalivari yote yalikwisha

Mizigo yote ulibeba, laana yote ulichukua
Mizigo yote alibeba, laana yote alichukua  
Magonjwa yote kalivari, mateso yote kalivari
Kalivari kalivari, kalivari kalivary

Kalivari Kalivari kalivari, yote yalikwisha
Kalivari Kalivari kalivari, yote yalikwisha
Kalivari Kalivari kalivari yote yalikwisha

Watch Video

About Calvary

Album : Calvary (Single)
Release Year : 2016
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 21 , 2020

More TUMAINI AKILIMALI Lyrics

TUMAINI AKILIMALI
TUMAINI AKILIMALI
TUMAINI AKILIMALI
TUMAINI AKILIMALI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl