Jah Jah Lyrics by TOMMY FLAVOUR


Oh Baba, oh Baba
Naomba niongoze
Oh Jah Jah, oh Jah Jah
Ntakufata nisipote
Kwenye mabalaa umenipitisha 
Kwenye shida na njaa umenilisha
Wakitaka niende chini wanipandisha
Mapenzi yako siwezi kufananisha
Bora nikushukuru uuh uuh uuh
Acha nikushukuru uuh uuh uuh
Bira nikushukuru uuh uuh uuh
Acha nikushukuru uuh uuh uuh
Oh Baba

Oluwa oh Jah Jah
Wanijua kiundani 
Ukunilinda maishani yeah
Sikulipi chochote 
Sifati yako yote 
Ila bado hujaniacha, uko na mimi
Kwenye mabalaa  umenipitisha
Kwenye shida na njaa umenilisha
Wakitaka niwe chini ukanpandisha
Mapenzi yako siwezi kufananisha
Bora nikushukuru uuh uuh uuh
Acha nikushukuru uuh uuh uuh
Mi bora nikushukuru uuh uuh uuh
Ooh Acha nikushukuru uuh uuh uuh
Jah Jah, jah jah
Oh Jah Jah
Acha nikushukuru (Jah Jah)
Acha nikushukuru (Jah Jah)
Acha nikushukuru 
Acha nikushukuru (Jah Jah)
Acha nikushukuru 
Acha nikushukuru 
Acha nikushukuru 
Acha nikushukuru

Watch Video

About Jah Jah

Album : Jah Jah (Single)
Release Year : 2021
Copyright : ©2021 Ziiki & Kings Music Records.All Rights Reserved.
Added By : Farida
Published : Sep 23 , 2021

More TOMMY FLAVOUR Lyrics

TOMMY FLAVOUR
TOMMY FLAVOUR
TOMMY FLAVOUR
TOMMY FLAVOUR

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl