Nimekamatia Lyrics by TANNAH


Ndio, mwezi ulikwenda mbio 
Nikifikiria nimempata atakaye nifuta moyo tope
Bila mafanikio la tishio 
Ni uzuri wako na ndio mfagio 
Hapa ukanisafisha mia kobe

Haina ubishi we ndo refa 
Una kipenga mjanja umeniweza
Unanichanganya mpaka najazaga maji kwenye tega
Mmmh, ukweli nakwambia hata sehemu za kuchega najikuta mi nalia 

Umenifanya utundu ukawaka na sio mpaka nilewe
Niliomba Mungu baraka ndio nikakupata wewe
Viuno vya pale na hapa nikadata mama wewe
Mama weee

Hey hey wala sikutaka nikichune 
Ndio maaana nikaibuka ghetto na mitumba ya karume
Ukanipa mjani na apple na mi una paka shume 
Na mi ukanigusa echo nikajua nimepata dume

Huh, so umefurahia kunipata mimi
Yes boo waeza niambie unataka nini
Niwapigie simu home wazazi niwambie kuwa nimepata pini
Yeah waweke wazi love tutajificha mpaka lini?

Yaani yalianza mapenzi sa inafuata doa
Usiwasikize washenzi siwapendi wanaboa
Tukitoka wikendi tunaspendi wanapoa
Tunatrendi home baada ya mambo mengi na koa

Thanks God kwa kumpata anaye nifaa sherie
Taabu mwanzo ila sasa naona takheri
Tambua kuwa moyo wangu sio kiboa kweli
Hasa navokupa muwa ulowazamisha meli

Je unanipenda? Ndio nakupenda
Hautanitenda? Sitakutenda
We umenitenda, hautonizingua 

Huh! Kukikucha unanikumbusha kuwa kumekucha nikatafuta
Nikikosa mzuka nikipata twende kwenye fukwe
Na iko wazi changamoto zinapita 
So ukinita naja unanifikisha sehemu nisizofika

Huh yes love nakupata 
Real love ndo ina matter
Tumetoka mbali tunakwenda mbali
Kifuatacho sa ni mapacha
Tule tam tam swadakta
Yule nyoka aking'ata
Lile tunda matata nikitoka nawaka
Nawaka!

Sometimes ata siamini nimepata karata dume
Na mmiliki ni mimi
Ninavyokukamatia chini ile kiuno na nine 
And you know what I mean 

And I will always wanna see you 
On the peak of your happiness
You are the king of the jungle 
The lion the lioness

Unani-refresh najaa na bless
Yesa nabless(Warrup)
Yaani mbali mapen we mwoga mfresh
Nikiwa nawe nabend(Hey Warrup)

Watch Video

About Nimekamatia

Album : Nimekamatika (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019 Kiri Records.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 27 , 2019

More TANNAH Lyrics

TANNAH
TANNAH
TANNAH

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl