Nalewa Leo Lyrics by STAMINA


Stamina mi mkali
Leo silewi ninakunywa kwa machale
Waite wa masaki waite wa Tandale
Waambie hatuli ugali maana wote tuna chale

Nina kibunda kwa hio fresh sina wasi
Na sio bill nalipa mpaka visasi
Ukinikuta counter kaa mbali we mbwiga
Maana mpaka pombe nalipa kwa namba nida

Tafuta hela wewe
Usijifanye unanijua
Unazingua mi mwenzako 
Hata vyoo unazimbua

Una akili wewe
Usijifanye unanijua
Kwenye mvua kwenye jua 
Napambana natusua

Kazi yako mfukoni pamba na ndimi
Ukipewa damu unataka upewe na kinga
Si tuna shida zetu tuskize zako kwanini?
Hebu waiter shusha bapa watu waunguze maini

Nataka nilewe mpaka mnibebe leo
Nasimama dede mpaka mnibebe leo
Eeeh...nalewa leo
Eeeh...nalewa leo
Eeeh...nalewa leo
Eeeh...nalewa leo

Body ya kifisi na giza ngisi inaeleweka
Na nikienda ghetto huwa sifui naloweka
Kama ni pisi unaipa fix unaiteka
Yaani full makiss unaimix hadi inacheka

Wanaume, kuna demu ananiletea mawenge
Anasema siwezi game ati kisa amejaa mauzembe
Mwambieni sio kinyonge hapa samba tatu bila
Kila mechi hatrick huwa naondoka na mpira

Bumper to bumper yaani chuma kwa chuma
Hata akiingia chooni namfuata kwa nyuma
Bar zaidi twende ghetto nikute simba anacheza
Aki ya nani nitakula jicho mpaka libaki kengeza

Kazi yako mfukoni pamba na ndimi
Ukipewa damu unataka upewe na kinga
Si tuna shida zetu tuskize zako kwanini?
Hebu waiter shusha bapa watu waunguze maini

Nataka nilewe mpaka mnibebe leo
Nasimama dede mpaka mnibebe leo
Eeeh...nalewa leo
Eeeh...nalewa leo
Eeeh...nalewa leo
Eeeh...nalewa leo

Nataka nilewe mpaka mnibebe 
Nasimama dede mpaka mnibebe 

Watch Video

About Nalewa Leo

Album : Nalewa leo (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 10 , 2020

More STAMINA Lyrics

STAMINA
STAMINA
STAMINA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl