SHETTA Bonge la Toto cover image

Bonge la Toto Lyrics

Bonge la Toto Lyrics by SHETTA


Okey uh, toto shape toto guu guu
Kila unapopita watu macho juu juu
Baby ka umebeba kichuguu
Alafu chuchu ndogo kama vichuguu

Haha, enjoy kuwa na mimi ma
Mwili wako nifunike na madini ma
Safari ya angani na majini ma
Mi ndio king we ndio queen ma

Have it baby pie, my baby bi millionare
Vikao vyangu mawaziri na ma mayor
Zinaletwa ndoa mmezifill ma Bellaire
Matumizi bei juu na bill tunagombea 

Shoga zako unawatesa
Hawapendi kukuona na Shetta
Tunavyozitumia pesa
Enjoy baby wala wasikupe pressure

Okey, bonge la toto mama
Wanipa vyote we ni bonge la toto mama
Chii, bonge la toto mama
Nakupenda zaidi, we ni bonge la toto mama

Mami mi ni billionaire
Nifilisi hadi nirudi kwenye u millionaire
Tafuta ki ben 10 ukihonge
Ila nikikifuma aisee kisiombe

Jua nakuzimia ma
Nataka tuzunguke hii dunia ma
Pesa kuzitumia ma
Tusisahau Serengeti Tanzania ma

Tukacheki nyati na swara
Pesa nyingi baby wala sipati hasara
Ikibidi ita na wenzako
Maana huwezi kumaliza peke yako

Shoga zako unawatesa
Hawapendi kukuona na Shetta
Tunavyozitumia pesa
Enjoy baby wala wasikupe pressure

Okey, bonge la toto mama
Wanipa vyote we ni bonge la toto mama
Chii, bonge la toto mama
Nakupenda zaidi, we ni bonge la toto mama

Bonge la toto mama
We ni bonge la toto mama
Bonge la toto mama
We ni bonge la toto mama

Watch Video

About Bonge la Toto

Album : Bonge la Toto (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Sep 14 , 2019

More SHETTA Lyrics

SHETTA
SHETTA
SHETTA
SHETTA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl