Kaskizia Lyrics by SAILORS


Ni noma sana
Hii ni kama imepikwa na maji ya mtaro bana
Hii ni ya Sailors bana, Boondocks bana
Wameshikana

Ati banger banger hii nayo ni banger
Toto fiti rarua, ah tunafaana
Mbleina leta zogo, ah tunavaana
Ju ju ju 

Tulikam juzi juzi waka(Kaskizia)
Ka ni dem na umebeba uta(Kaskizia)
Manzi yako ka ni mbleina ata(Kaskizia)
We ni vajo jilete makeja uta(Kaskizia)

Eeeh kaskizia(Kaskizia)
Eeeh kaskizia(Kaskizia)
Eeeh kaskizia(Kaskizia)
Eeeh kaskizia, si ni ku (Kaskizia)

Oya oya ninadai riz ya goro
Ninadai peddy ataniguza ndani ya goro
Lima maddam chaser nina kitambla
Shika utam nyuma una kibiangla
Dunga masilver mbogi ina udiang'a
Roga mchawi jua kuna uganga 
Mpenda gwati kwani we ni mgangla

Tutakaskizia na mihadarati bibibi
Vijana hapa rungu na punyeto ni bbb
Paka lotion na Arimis ama upake bbb
Mmmh okey, sa itabidi umetii

Tangu mapunyeto sai niko mafutani
Tangu stori ya rungu unadhani ni mashetani
Mangeus wakijipa aki walai nimejihami
Niko juu ya majugu na turi hapa sihami

Banger banger hii nayo ni banger
Toto fiti rarua, ah tunafaana
Mbleina leta zogo, ah tunavaana
Ju ju ju 

Tulikam juzi juzi waka(Kaskizia)
Ka ni dem na umebeba uta(Kaskizia)
Manzi yako ka ni mbleina ata(Kaskizia)
We ni vajo jilete makeja uta(Kaskizia)

Eeeh kaskizia(Kaskizia)
Eeeh kaskizia(Kaskizia)
Eeeh kaskizia(Kaskizia)
Eeeh kaskizia, si ni ku (Kaskizia)

Odi wa Murang'a nitakuzima kwa mtobo mmoja
Tukikosa lotion kuna ikodo ngoja
Tu nizichanganye kwa kithono
Nyoti zangu chafu ka maji ya mtaro

Kuja na mngeus nikufanyie gonori things
Inspekta Kimeu wanakemba minority
Habomuke kumwaga nnje ni mediocrity
Genge la Boondocks limeleta calamity

Ka ngeus amebeba anathigitha morigo
Sina kutu leo nimechange oilo
Na nitachimba kunuke mayai boilo
Thobotha, thobotha, uchome coilo

Kabisa enyewe twawatisha
Ngoma zetu zakupea mamotisha
Kwenye show tunakill twawakilisha
Na kadem kakijipa kamilisha

Kaskizia hii nayo ni ya ma dotcom
Uone chizi zile enzi za Sodom
Ka ni ngoko tunakula bila kionjo
Hapa ukuje utaingiza hadi kiongo

Ati banger banger hii nayo ni banger
Toto fiti rarua, ah tunafaana
Mbleina leta zogo, ah tunavaana
Ju ju ju 

Tulikam juzi juzi waka(Kaskizia)
Ka ni dem na umebeba uta(Kaskizia)
Manzi yako ka ni mbleina ata(Kaskizia)
We ni vajo jilete makeja uta(Kaskizia)

Eeeh kaskizia(Kaskizia)
Eeeh kaskizia(Kaskizia)
Eeeh kaskizia(Kaskizia)
Eeeh kaskizia, si ni ku (Kaskizia)

Si hawa waroro wanadai tu ororo
Wanadai wathomothwe na uroro
Ka kiembe sema tukiwa kiroro
Akikam thru' we tunza ka goro

Chorea utakaskizia tumboni
Kazi yako ni kuchezea tu boli
Nipige chenga hadi nifunge yangu goli
Hadi maneiba watatii ni kungori

Aah uwachome na kingoto
Umekwama kwa jam chingri kibarley kia cham
Ninatambla majani ndo nipite na maddam
Ni majug na konyagi nisanif mbili ziniturn

Shika mwalalo jua leo kuta burn
Nikupita nayo jo ki kiutaliban
Kuruweng mjulubeng shash shash na kidem
Kuruweng mjulubeng shash shash na kidem

Ati banger banger hii nayo ni banger
Toto fiti rarua, ah tunafaana
Mbleina leta zogo, ah tunavaana
Ju ju ju 

Tulikam juzi juzi waka(Kaskizia)
Ka ni dem na umebeba uta(Kaskizia)
Manzi yako ka ni mbleina ata(Kaskizia)
We ni vajo jilete makeja uta(Kaskizia)

Eeeh kaskizia(Kaskizia)
Eeeh kaskizia(Kaskizia)
Eeeh kaskizia(Kaskizia)
Eeeh kaskizia, si ni ku (Kaskizia)

Watch Video

About Kaskizia

Album : Kaskizia (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 04 , 2019

More SAILORS Lyrics

SAILORS
SAILORS
SAILORS
SAILORS

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl