RUBY Wanakoma  cover image

Wanakoma Lyrics

Wanakoma Lyrics by RUBY


(Mocco)
Haki ya Mungu mimi nakoma na yeye (Nakoma ah naye) 
Haki ya Mungu mimi nakoma na yeye (Nakoma ah naye) 
Haki ya Mungu mimi nakoma na yeye (Nakoma ah naye) 
Haki ya Mungu mimi nakoma na yeye (Nakoma ah naye) 

Wanakoma (Hao)  
Na bado tunakoma nao (Hao) 
Mapenzi yamekoma (Hao) 
Wamezoa na vijiba vya roho (Hao)

Wanakoma (Hao)  
Na bado tunakoma nao (Hao) 
Mapenzi yamekoma (Hao) 
Wamezoa na vijiba vya roho (Hao)

Unajuwa baby ninakupenda
We ndo kila kitu kwangu
Unapashwa kuwa na mimi  
Juwa wendo chaguo langu

Karibu kwenye dunia yangu
Tujenge tu familia
Ahhhhhh, iyiiih uhhh yaah

Umenipa mahaba umenipa
Umenitakasa mwili na moyo
Unanifaa wendo unanifaa
Ushaniteka akili na roho

Wewe umenipa mahaba umenipa
Umenitakasa mwili na moyo
Unanifaa wendo unanifaa
Ushaniteka akili na roho

Wanakoma (Hao)  
Na bado tunakoma nao (Hao) 
Mapenzi yamekoma (Hao) 
Wamezoa navijiba vya roho (Hao) 

Wanakoma (Hao)  
Na bado tunakoma nao (Hao) 
Mapenzi yamekoma (Hao) 
Wamezoa na vijiba vya roho (Hao) 
Eeeh oooohhh yahhh, oh baby hmmm

Penzi nalidonowa dono dono
Wala sinziri sirizi
Japo kidogo dogo
Nimeridhika aah

Mapenzi unayonipa
Mina burudika wanifikisha kilele
Huba lako hakika
Lamelainisha aah ohh babe eeeeh 

Umenipa mahaba umenipa
Umenitakasa mwili na moyo
Unanifaa wendo unanifaa
Ushaniteka akili na roho

Wewe umenipa mahaba umenipa
Umenitakasa mwili na moyo
Unanifaa wendo unanifaa
Ushaniteka akili na roho

Wanakoma (Hao)  
Na bado tunakoma nao (Hao) 
Mapenzi yamekoma (Hao) 
Wamezoa navijiba vya roho (Hao) 

Wanakoma (Hao)  
Na bado tunakoma nao (Hao) 
Mapenzi yamekoma (Hao) 
Wamezoa na vijiba vya roho (Hao) 
Eeeh oooohhh yahhh, oh baby hmmm

Babe babyy eeeeeeeeh
Tusheshe, hmmm ahaaaaaaah
Tusheshe, tusheshe (Ahahaha) 
Tusheshe ma babe (Tusheshe)
Ahaha ahaha ahaha ohhhhhh
Tusheshe (Tusheshe oooh baby babe) 

Tusheshe, tusheshe
Tusheshe, tusheshe
Tusheshe, tusheshe

Watch Video

About Wanakoma

Album : Wanakoma (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 17 , 2021

More RUBY Lyrics

RUBY
RUBY
RUBY

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl