Mapenzi Lyrics by RICH MAVOKO


Bobo madeit

Hivi we ungewezaje kuishi bila unayempenda
Ama ingetokeaje yote dunia kukutenda
Wanavyojua mimi mapenzi ya mwisho matamu
Hasa ukishapenda, mwenzio akakuchenga

Zina utumwa hisia 
Na mwili ukipata maradhi
Ukizinga kukimbiwa 
Utabeba silaha jambazi

Kuna muda unaenjoy matamu
Kuna muda unalia machungu
Utayasifia matamu
Kesho huyataki tena, machungu

Kadata tatizo mapenzi
Kawamridhi kisa mapenzi
Kafilisika eti mapenzi
Wanagombana kisa mapenzi

Na data tatizo mapenzi
Kawamridhi kisa mapenzi
Kafilisika eti mapenzi
Wanagombana kisa mapenzi

Mchezo gani huo mwisho haukumbukwi wema
Hata utende mazuri bure, utamu ukiisha mjini shule
Sa itakuaje na itakuaje, ushakuwa teja na huwezi
Kidole ushapinga nae mpaka mapipi unaibiwa 

Zina utumwa hisia 
Na mwili ukipata maradhi
Ukizinga kukimbiwa 
Utabeba silaha jambazi

Kuna muda unaenjoy matamu
Kuna muda unalia machungu
Utayasifia matamu
Kesho huyataki tena, machungu

Kadata tatizo mapenzi
Kawamridhi kisa mapenzi
Kafilisika eti mapenzi
Wanagombana kisa mapenzi

Kadata tatizo mapenzi
Kawamridhi kisa mapenzi
Kafilisika eti mapenzi
Wanagombana kisa mapenzi

 

Watch Video

About Mapenzi

Album : Mapenzi (EP)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : May 28 , 2021

More RICH MAVOKO Lyrics

RICH MAVOKO
RICH MAVOKO
RICH MAVOKO
RICH MAVOKO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl