RICH MAVOKO Ndo Mana cover image

Ndo Mana Lyrics

Ndo Mana Lyrics by RICH MAVOKO


Nakesha nikihesabu nyota
Labda masiku yajongee
Nikiota eti nitaokota
Ile radha ni miee

Kwa jihadi nishindane
Nikirejeshe kilichopotea
Nikose chongo mimi
Kwa kengeza niende komea

Night mwili wa baridi baridi
Pembeni shahidi nani
Baki mabua mahindi mahindi
Shambani nimecheka na nyani

Mi sio wa msiba sio wa heri
Niseme mi kwa kejeli
Machinga kaachwa feri
Matanga basi kwa herii

Tukaachana, ndo mana
Ndo mana, ndo mana
(Inauma sana sana)

Ndo mana
Ndo mana, ndo mana
(Inauma sana sana)

Mwana pori kulikosa shina
Kulikosa jina aibu kwa nani?
Tabia za Mwinyi mpeku
Yaani asili ni chetu

Nijitose nitange tange kwa nani
Nipate nini?
Pombe naikataa kwa imani, nahisi majini
Kijakazi nisiye na kazi
Sipandi ngazi hukujali
Huu my imani mi sina zari

Night mwili wa baridi baridi
Pembeni shahidi nani
Baki mabua mahindi mahindi
Shambani nimecheka na nyani

Mi sio wa msiba sio wa heri
Niseme mi kwa kejeli
Machinga kaachwa feri
Matanga basi kwa herii

Tukaachana, ndo mana
Ndo mana, ndo mana
(Inauma sana sana)

Ndo mana
Ndo mana, ndo mana
(Inauma sana sana)
Aaah..

Watch Video

About Ndo Mana

Album : Ndo Mana (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Aug 27 , 2021

More RICH MAVOKO Lyrics

RICH MAVOKO
RICH MAVOKO
RICH MAVOKO
RICH MAVOKO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl