Sota Lyrics by REKLES


Ni funny unadhani unachapaa
Buda kusota si dhambi acha kukataa
Ni funny unadhani unachapaa
Buda kusota si dhambi acha kukataa

(Mavo on the beat)

Ati we ni sos ukitaka unabuy
Uongo sema walai
Chocha mbona unajam
Bro umesota na unakataa

Ati yaani hunanga mali
We hushinda umehire gari
We hushinda nini na nani
Bro umesota na na unakataa

[Mejja]
Gari ni ya sugarmummy
Keja aliomba Mwaniki
Looku aliomba jirani
Na kwa baze vile anajidai

Bazu bazu bazu
Hauna kakitu bazu wa uduu
IG chocha maisha ya juu
Caption Lamu with my boo

Lifestyle na madeni
Ni kuchotwa chotwa na benki
Wacha kupost ukichocha
Ati uko Lamu na vile umesota

Ati we ni sos ukitaka unabuy
Uongo sema walai
Chocha mbona unajam
Bro umesota na na unakataa

Ati yaani hunanga mali
We hushinda umehire gari
We hushinda nini na nani
Bro umesota na na unakataa

Cheki ati bro umesota na unakataa
Na ati pia umeokoka unaendanga church
Unadai una chopa na hauna hata bike
Mi adi sijui mbona ama uko mangwai

Hmmmh haa! 
Ama jo ni jaba zimerunda
Na we husema unaishi Runda
Na we unapatikana daily stage ya Lunga

Ayayayaya mbona ulichochana umebuy ndae
Bado uko na deni hadi ya mayai
Ona mpaka Tala inakudai
Zidi kujigamba

Ati we ni sos ukitaka unabuy
Uongo sema walai
Chocha mbona unajam
Bro umesota na unakataa

Ati yaani hunanga mali
We hushinda umehire gari
We hushinda nini na nani
Bro umesota na na unakataa

Ni funny unadhani unachapaa
Buda kusota si dhambi acha kukataa
Ni funny unadhani unachapaa
Buda kusota si dhambi acha kukataa

Hmmmh haa! 
Ama jo ni jaba zimerunda
Na we husema unaishi Runda
Na we unapatikana daily stage ya Lunga

Ati we ni sos ukitaka unabuy
Uongo sema walai
Chocha mbona unajam
Bro umesota na unakataa

Ati yaani hunanga mali
We hushinda umehire gari
We hushinda nini na nani
Bro umesota na na unakataa

(House of Badass)

Watch Video

About Sota

Album : Sota (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Oct 27 , 2020

More REKLES Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl