OTILE BROWN Ulishindwa  cover image

Ulishindwa Lyrics

Ulishindwa Lyrics by OTILE BROWN


Najua nampenda si utani
Sikutamani kumtenda tangu zamani
Ila unafahamu kwamba mimi nilimweka ndani
Ndo maana hata ukikaa naye tu chumbani

Ewe kwenda someee
Wewe ni mwongo sana
Unajifanya unampenda
Sababu niko nayee
Haiyayayaya some wewe
Haiyayayaya niko naye

Ulinifanya niwe mjinga
Tena tapeli wa mapenzi
Kwenye swala la mapenzi
Unataka  tu niwe kayumba
(oooh baba yeah we Tuga)

Ooh nini nanana mi ndo ticha wa haba
Ooh nini nanana wewe kwako ulishindwa
Sasa vipi tena maneno maneno unaongea
Asa vipi tena kunung'unika kwako moyo unaniuma some

Naamini walaghai ata penzi ninaona kama halifai
Ndo maana najidai ata nikiwa naye nani nainai
Ndo maana nipo na yeye chumbani  
Nikikaa nikiwaona naye najiwa sawazisha

Ndo maana nakwambia ata wewe haufai
Ungekuwa rafiki mzuri mama, ungeniletea na zawadi
Ungemleta kwangu chumbani
Alafu nikwambie vitu fulani

Si machoche chuchuria
Kumbe moyo wako unaumia
Yaani kama niko naye zawadi nitakuletea
Kadi nzuri nipo naye,kadi nzuri ooh ya ndoa

Oooh wee
Ulimchezea kwangu mi aaah
Sawa, ulimchezea kwangu hajapotea some

Ooh nini nanana, mi ndo ticha wa haba
Ooh nini nanana, wewe kwako ulishindwa
Sasa vipi tena maneno maneno unaongea
Asa vipi tena kunung'unika kwako moyo unaniuma some

Unajifanya tena mjanja
Tena mjanja tu wa mapenzi
Kwenye swala la mapenzi mimi naamini tuwe kayumba
Oooh ila  tu na wewe, we muoe basi
Ila tu siongei sana muoe basi

 

Watch Video

About Ulishindwa

Album : Ulishindwa (Single)
Release Year : 2018
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 21 , 2018

More OTILE BROWN Lyrics

OTILE BROWN
OTILE BROWN
Hi
OTILE BROWN
OTILE BROWN

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl