OTILE BROWN Acha waseme cover image

Acha waseme Lyrics

Acha waseme Lyrics by OTILE BROWN


Kama riziki unatoa, basi ntakosa
Ila kama ni mola lazima ntapata×2

Bwana Shetani muongo , muongo we!
Mbona umejawa na kinyongo ndugu we!×2
Bwana niambie x3 wapi nilipokuudhi naomba uniambie
Mana sio sawa kama we wanichukia , nia njema nlio nayo kwako ndo mafanikio Yangu , wakati mimi nakuombea mema , waniwazia mbaya ooh sio sawa
ooh so sawa

Ooh dhamira yangu ndo nguzo yangu ×2

Acha waseme , Acha waonge ×2

Wewe unanichukuia ata zaidi unavojipenda
Unafikiri nafikiri unavyofikiria mana nia zako sio njema
Chochote nachofanya unanielewa makosa
Lolote nachofanya unanihukumu vibaya
Wapi nilipokukosea ningependa unieleze
Wapi nilipokuudhi ningependa uniambie
Maana sio sawa kama wewe wanichukia , nia ooh njema nlio nayo kwako ndio mafanikio yangu
Wakati mimi nakuombea meme , waniwazia mabaya ooh so sawa

Ooh dhamira yangu , ndo nguzo yangu
Ooh wema Wangu ndo nguzo yangu ×2

Acha waseme , acha waongee×4

Watch Video

About Acha waseme

Album : Otile Brown Singles (Album)
Release Year : 2017
Copyright : (c)2017 International Textures
Added By : Trendy Sushi
Published : Feb 07 , 2020

More OTILE BROWN Lyrics

OTILE BROWN
OTILE BROWN
Hi
OTILE BROWN
OTILE BROWN

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl