Mama Lyrics by OTILE BROWN


Sema mami natamani anga mara moja uamke nikuone
Sikuwahi kukuambia nakupenda kabla uondoke
Na ina ichoma moyo wangu
Ina ikwaza nafsi yangu
Mana sikupata mda mama yangu
Ya kuomba msamaha wa kosa langu
Sometimes najifunga chumbani mwenyewe
Najiliza kama mtoto
Je unejivunia mimi kua mwanako wewe
Kwenye hii dunia changa moto
Tena bado nazingatia mafunzo yako
Busara heshima na upole
Ingawa binadamu kazi
I miss you
Yani leo zaidi ya jana
Hasa siku kama hii
I miss you
Nimejifunga mengi sana toka uniage mama

Mapenzi mwenyewe mama yako
Mungu akupe radhi diama
Kipenzi changing cha moyo
Cha kukulipa sina
Shukrani kwanza kwakunileta hii dunia
Ungeweza kuitoa mimba yangu
Ila ukachagua ni ishi mama
Ninakuonaga unavyojinyima nipate
Izo shida nazishuhuda
Nasijawai kujutia kua mwanao mama
Aaahh mama nataka ujue nashukuru
I love you
Yani leo zaidi ya jana
I love you mama
Na najitahidi sana nikupendeze mama yangu
Na bado nazingatia mafunzo yako
Busara heshima na upole
Ingawa binadamu kazi

Watch Video

About Mama

Album : Mama (Single)
Release Year : 2022
Added By : Farida
Published : Apr 14 , 2022

More OTILE BROWN Lyrics

OTILE BROWN
OTILE BROWN
Hi
OTILE BROWN
OTILE BROWN

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl