NONINI Mpaka Chini cover image

Mpaka Chini Lyrics

Mpaka Chini Lyrics by NONINI


Nonini ft. Prezzo - Mpaka Chini

Baas (baaas)! Baas (baaas)
Baas (baaas) Mocco …

[CHORUS]
Baas pinduka twende mpaka chini (mpaka chini)
Vunja magoti twende mpaka chini (mpaka chini)
Pinduka twende mpaka chini (aaaah aaah aaah)
Mpaka chini
Vunja magoti twende mpaka chini (aaaah aaah aaah)
Mpaka chini

[VERSE 1]
Mpaka chini, Tunakwenda kusini
Mzuka za Nonini, Wasupa bikini
Katika na mimi zungusha ka mwili
Vijana wanachizi mabuda mafisi
Fresh, unanukia nini
Bless, umejibeba mingi
Piga magoti tunavua makoti
Tunapiga mapozi, looks za kidosi
Baas pinduka, twende mpaka chini
Tutishe mujini washindwe ni nini
Vunja magoti nikirusha manoti
Tunavuta mamoshi watu wananyoji aah

Fanya ni kama wewe huna adabu
(Wewe huna adabu)
Peleka mpaka wapoteze fahamu
(Wapoteze fahamu)
Wagenge ndani ya wote nyumba walewekwee
Walewekwee
Wasupa wote ndani ya nyumba baas waletwe
Baas waletwe

[CHORUS]
Baas pinduka twende mpaka chini (mpaka chini)
Vunja magoti twende mpaka chini (mpaka chini)
Pinduka twende mpaka chini (aaaah aaah aaah)
Mpaka chini
Vunja magoti twende mpaka chini (aaaah aaah aaah)
Mpaka chini


[Verse 2]
Kidogo unanimaliza kabisa
Ukishusha pandisha
Me wani tamanisha mami
Kidogo naeza guzisha guzisha
Ukishusha zungusha
Me wa nichanganisha (aaah)
Siogopi gharama me hufika bei
Kama ni sherehe me hupik everyday (aaah)
Nakata shinda Timmy na wembe
Kitoto kiko juu kushinda ndege
Utamu zaidi ya achari ya maembe
Kitu soft ikisonga, utamu wa tende
Bora tukikuwa down ni mrefu tu sana
Tukisimama na wewe (huh) tunatoshana

Mara si jasho mwili zikigongana
Mwili zikigogana
Magenge zile zetu  za kuchotana
Zile za kuchotana
Juu kwa juu niku bana mtoto (mtoto)
Chini kwa chini ni kulamba lolo
Lo (lamba lolo)

[CHORUS]
Baas pinduka twende mpaka chini (mpaka chini)
Vunja magoti twende mpaka chini (mpaka chini)
Pinduka twende mpaka chini (aaaah aaah aaah)
Mpaka chini
Vunja magoti twende mpaka chini (aaaah aaah aaah)
Mpaka chini

Baas pinduka twende mpaka chini (mpaka chini)
Vunja magoti twende mpaka chini (mpaka chini)
Pinduka twende mpaka chini (aaaah aaah aaah)
Mpaka chini
Vunja magoti twende mpaka chini (aaaah aaah aaah)
Mpaka chini

[Verse : PREZZO]
Yes, figure namba nane nimekubali ma
Hao wawili nyuma unavyo watingisha
Macho nimekodoa utadhani mi ni kichaa
Nikikucheki uki dondo dondosa

In a nutshell agenda ni moja
Piga magoti we ndo nangoja
Sigongi ukuta we ndo ntakuta
Baas pinduka ma, shika ukuta
Wanifanya nijiskie kama carpenter
Cheki nilivyombao
Wanifanya nijsikie kama Boxer
Mayweather Nikimada iyo rao

Cheza kwa maringo
Cheza kwa madharau
Anguka tu na wimbo tunawamada kwao
Cheza kwa maringo
Cheza kwa madharau
Anguka tu na wimbo tunawamada kwao

[CHORUS]
Baas pinduka twende mpaka chini (mpaka chini)
Vunja magoti twende mpaka chini (mpaka chini)
Pinduka twende mpaka chini (aaaah aaah aaah)
Mpaka chini
Vunja magoti twende mpaka chini (aaaah aaah aaah)
Mpaka chini

Baas inuka twende mpaka chini (mpaka chini)
Vunja magoti twende mpaka chini (mpaka chini)
Pinduka twende mpaka chini (aaaah aaah aaah)
Mpaka chini
Vunja magoti twende mpaka chini (aaaah aaah aaah)
Mpaka chini

Kidogo unanimaliza kabisa
Ukishusha pandisha
Me wani tamanisha mami
Kidogo naeza guzisha guzisha
Ukishusha zungusha
Me wa nichanganisha (aaah)

 

Watch Video

About Mpaka Chini

Album : Mpaka ChinI (Single)
Release Year : 2018
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 09 , 2018

More NONINI Lyrics

NONINI
NONINI
NONINI

Comments ( 2 )

.
Viola 2018-12-10 19:22:59

Magenge zile zetu za kuchotana Zile za kuchotana Juu kwa juu niku bana mtoto (mtoto) Chini kwa chini ni kulamba lolo Lo (lamba lolo)

.
Viola Koech 2018-12-10 21:47:50

Magenge zile zetu za kuchotana Zile za kuchotana Juu kwa juu niku bana mtoto (mtoto) Chini kwa chini ni kulamba lolo Lo (lamba lolo)



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl