Bandana ya Esir Lyrics by NELLY THE GOON


Bak bandika, bak bandua
Aste aste ka jegi inamature
Tamu halua kakinipa mi naua
Meza mate au uteme na mapua

Kukuruku amka kumekucha
Boss ni luku na ukatage makucha
Rupurupu kwa wale kuninusha
Goons mandugu manduku kuungusha

Veteve, veteran 
Kama veve naveveta
Nina racket ya fendera
Na sisongi na fendera

Hastalavista naendea your sister
Namkutanisha style za Baptista
Na Monalisa ni dem wa Garissa
Nakwata misa niko sa kanisa

Bandana ya Esir, fresh ka Bandana ya Esir
Bandana ya Esir, niko fresh ka Bandana ya Esir
Bandana ya Esir niko fresh ka Bandana ya Esir
Bandana ya Esir eh, fresh ka Bandana ya Esir

Nikiwa high school nilikuwa naitwa Apudo
John Do sa ya physo niko Ludo
Saa moja ni saa ya kupitisha burungo
First body ndo alinifunza makumbo

Nikiwa 16, mfuko gode 16
17 niko matings ndani ya 18
18 nilikuwa nadaisha niko 19
19 kila time ni 4:20

4:20 for 20 years 
Na bado nimestand kama cross ya kanisa
Bado fresh kama bandana ya Esir
Wananitambua sihitaji visa
Niko real nimechill sina speedi
Niko zone A bone siko greedi
Motif ebu nijenge
Wajue the real meaning ya Mathenge

Vete veteran
Na wasikudanganye coz I'm still the one
Vete veteran
Na wasikudanganye coz I'm still the one

Bandana ya Esir, fresh ka Bandana ya Esir
Bandana ya Esir, niko fresh ka Bandana ya Esir
Bandana ya Esir, fresh ka Bandana ya Esir
Bandana ya Esir niko fresh ka Bandana ya Esir

Hii ni ya madada kila club wakiruka kama panzi
Lyrics za Habib zawainua kama chupa ya Bacardi
Wachungu ka limau lakini watamu kama sukari
Alhamdullilahi

Hii ni ya madada wenye midomo nyekundu
Kama mabuyu nataka kuwapiga busu
Niwaambie vile nawapenda ni kama nyinyi ni ndugu
Na E-sir alinionya juu ya mamanzi kama nyinyi

Kama hatuna hatuli, ukinipa sishibi
Ninaruka vikingi, ukinipa ulimi
Mi husahau bibi kukupigania sishindwi
Vile mama we huringi ndio nakutaka zaidi

Fresh kama, Bandana ya Esir
Bandana ya Esir, fresh ka Bandana ya Esir
Bandana ya Esir, niko fresh ka Bandana ya Esir
Bandana ya Esir, fresh ka Bandana ya Esir
Bandana ya Esir niko fresh ka Bandana ya Esir

Genge sosi naogopa, genje nikisanif naomoka
Sembe kila siku niko mboka
Wembe ka JJ Okocha
Si ndo wale huvuta tire ndani ya  choppa
Si ndo wale huingia piri na mapocha
Si ndo wale tukiomoka huenda ocha
Si ndo wale huficha kidi ndani ya toja

Natesa ka Murage akiwa KEMSA
Nadai dem gaza kama Petra
Mi ni lion nasorora tu mazebra
Nawatibu ka Panadol extra

Haiyaa, Bandana ya Esir
Niko fresh ka Bandana ya Esir
Mko pressed mnang'ang'ania maisha
Ndo maana sikuwangi impressed mkidanganya kwa Insta
Naogopa two things, sauti ya shootings
Ngoko ana moodwings ju they confuse me 
Mlinitrendisha kwa Twitter for like 2 weeks
Mi saa hio niko daro nawaandikia my new hit

Mafala kabisa
Nimekam na change kama makanga wa Nissan
Mistari fresh ka, bandana ya Esir
Fresh ka, bandana ya Esir

Bandana ya Esir niko fresh ka Bandana ya Esir
Bandana ya Esir, fresh ka Bandana ya Esir
Bandana ya Esir niko fresh ka Bandana ya Esir

Watch Video

About Bandana ya Esir

Album : Bandana ya Esir (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2022
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 19 , 2022

More NELLY THE GOON Lyrics

NELLY THE GOON
NELLY THE GOON
NELLY THE GOON
NELLY THE GOON

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl