Yote Sawa Lyrics by NANDY


Mimi sio kama wale
Walopita zamani mpenzi
Ooh niamini mwendo uwe sare
Usije nicha njiani mpenzi

Kule niliona mazito
Penzi lilikuwaga la mpito
Kulalama kulichosha koo
Ila nashukuru ilinikomaza roho

Licha ya kuitoa mchangani
Sikuacha kujipa imani
Japo mengi yalinikata maini
Nikaliwazua na msondona

Uzuri haupotei ramani
Ubaya hauvaishwi miwani
Nikachoka madongo ya gizani
Na mateso ya Sodoma

Yote sawa, mapenzi mboga nachaja jamaa
Yote sawa, nimeshapata shuruba yakaniumiza
Yote sawa, wouuh
Yote sawa (Yote sawa)

Tafsiri ya penzi sio kitanda tu
Ina mengi juu yake ni mapenzi
Sio kama sioni na sio ushamba boo
Kuna wengi niwafuate

Nilijaribu nilipoweza kufanya
Haikuonekana kwangu ikawa aibu
Kunichombeza kwa sana kumbe ananidanganya

Licha ya kuitoa mchangani
Sikuacha kujipa imani
Japo mengi yalinikata maini
Nikaliwazua na msondona

Uzuri haupotei ramani
Ubaya hauvaishwi miwani
Nikachoka madongo ya gizani
Na mateso ya Sodoma

Yote sawa, mapenzi mboga nachaja jamaa
Yote sawa, nimeshapata shuruba yakaniumiza
Yote sawa, wouuh
Yote sawa (Yote sawa)

 

Watch Video

About Yote Sawa

Album : Taste (EP)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021 African Princess.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jun 18 , 2021

More lyrics from Taste (EP) album

More NANDY Lyrics

NANDY
NANDY
NANDY
NANDY

Comments ( 1 )

.
winfredpooh at gmail.com 2021-10-14 17:21:44

cute song



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl