NANDY Kongoro cover image

Kongoro Lyrics

Kongoro Lyrics by NANDY


Umepoteza usikivuu haunisikizi tenaa
Nani kakuharibu mbona ghafla kulizana?
Wanuna bila sababu waniona me mtwana
Ukiwa nami wajifanya bubu kutesana

Mapenzi hayana ubia soko uria
Kuamisha muamala
Mbwembwe zimeniishia mkufu bandia
Mazao yameungua

Mapenzi hayana ubia soko uria
Kuamisha muamala
Mbwembwe zimeniishia mkufu bandia
Mazao yameungua

Heri imo gizani (Nitabaki kongoro)
Sioni sababu (Mwili wabaki kongoro)
Inayofanya uniumizee (Nitabaki kongoro)
Unanipa tabuu (Mwili wabaki kongoro)

Kisa upendo unilize (Nitabaki kongoro)
Sioni sababu (Mwili wabaki kongoro)
Inayofanya uniumize (Nitabaki kongoro)
Unanipa tabuu (Mwili wabaki kongoro)

Kisa upendo unilize
Eeh, ooh, eeh...

Upendo wa dhati unaning'inia
Afueni sipati ninaishilia
Weka hisabati na kukotoa
Ila jibu sipati nando 'mepotea

Japo nafsi inapinga ngumu yako kaulii
Sikubali kushindwa ndani nyingi dosari
Kila siku kunipa kuniona fedhuli mimi
Fedhuli mimi

Mapenzi hayana ubia soko uria
Kuamisha muamala
Mbwembwe zimeniishia mkufu bandia
Mazao yameungua

Mapenzi hayana ubia soko uria
Kuamisha muamala
Mbwembwe zimeniishia mkufu bandia
Mazao yameungua

Heri imo gizani (Nitabaki kongoro)
Sioni sababu (Mwili wabaki kongoro)
Inayofanya uniumizee (Nitabaki kongoro)
Unanipa tabuu (Mwili wabaki kongoro)

Kisa upendo unilize (Nitabaki kongoro)
Sioni sababu (Mwili wabaki kongoro)
Inayofanya uniumize (Nitabaki kongoro)
Unanipa tabuu (Mwili wabaki kongoro)

Kisa upendo unilize
Eeh, ooh, eeh...

Watch Video

About Kongoro

Album : The African Princess / Kongoro (Album)
Release Year : 2018
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 04 , 2020

More lyrics from The African Princess album

More NANDY Lyrics

NANDY
NANDY
NANDY
NANDY

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl