NANA Chizi cover image

Chizi Lyrics

Kenyan artist Nana Okindo aka Nana the Melanin Queen better known as Nana debut Album EP "Ch...

Chizi Lyrics by NANA


Mara kwa mara najikazia ah
Nimekupatia
Moyo wangu wewe nakulindia ah
Nafurahia 

Nini ulichonipa wewe
Ukikosea maneno matamu nakurudia ah
Bila kufikiria

I see you now I don't 
It's like a game of cut and nerves
Mchezo wa pata potea sitaki mimi

Nimezama ndani ya penzi lako baby
Sielewi mbona wanitenda hivi kweli
Nashangaa kipi cha kutatanisha hivi

Umenifanya nakuwa chizi, chizi
Umenifanya nakuwa chizi, chizi
Umenifanya nakuwa chizi

Mara kadhaa umeniumiza aah
Nimekusamehe
Nadhani umebadili unanichezea aah

Nawaza nini ulichonipa wewe
Ukikosea maneno matamu nakurudia ah
Bila kufikiria

I see you now I don't 
It's like a game of cut and nerves
Mchezo wa pata potea sitaki mimi

Nimezama ndani ya penzi lako baby
Sielewi mbona wanitenda hivi kweli
Nashangaa kipi cha kutatanisha hivi

Umenifanya nakuwa chizi, chizi
Umenifanya nakuwa chizi, chizi
Umenifanya nakuwa chizi

You always know the right things to say
And the right things to do
Don't want to - chocolates baby boo
Nakutaka tu
I don't know where this is heading to
But I'm so in love with you

Nimezama ndani ya penzi lako baby
Sielewi mbona wanitenda hivi kweli
Nashangaa kipi cha kutatanisha hivi

Umenifanya nakuwa chizi, chizi
Umenifanya nakuwa chizi, chizi
Umenifanya nakuwa chizi

Watch Video

About Chizi

Album : Chizi (EP)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 11 , 2020

More lyrics from Chizi (EP) album

More NANA Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl