NAIBOI Sondeka cover image

Sondeka Lyrics

Sondeka Lyrics by NAIBOI


Usibishane na babu wewe

Tunasondeka iyee, tunasondeka
Hii ni tamu bwana kama wali wa mnazi 
Tunasondeka iyee, tunasondeka
Rixx(Matatizo)
Tunasondeka iyee, tunasondeka
Ah Naiboi
Tunasondeka ooh Lord, tunasondeka
Tunarekebisha

Tabia ya kuagiza pombe 
Na si wewe unalipa(Tunasondeka)
Unakuja date na mabeste zako na sijawaalika 
Njaro za kuingia chumbani mwangu 
Na mlango hujabisha (Tunasondeka)
Unang'ara ndula zangu unaziposti kwa Insta
Umenivalia wiggy tamu kumbe ndani ni matuta
Ah kumbe haga feki, tulidhani una figa

Si watu wana tabia mbaya
Si muko na matabia mbaya
Si watu wana tabia mbaya
Si muko na matabia mbaya

Tunasondeka iyee, tunasondeka
Ikileta shida
Tunasondeka ooh Lord, tunasondeka
Tunarekebisha
Tunasondeka iyee, tunasondeka
Ikileta noma
Tunasondeka ooh Lord, tunasondeka
Tunarekebisha

Amelala mpaka saa tisa ni kama kwangu ni kwao
Na ng'ombe saba na mbuzi sita sijapeleka kwao
Si uliambiwa shimoni moto, mbona sasa unawika?(Unachomeka!)
Tukaambiwa ni shoti moja we ukichocha ni sita
Ambia huyo politician next time akituona(Kitaeleweka!)
Tangu tukuseti MCA, mtaani uko MIA

Si watu wana tabia mbaya
Si muko na matabia mbaya
Si watu wana tabia mbaya
Si muko na matabia mbaya

Tunasondeka, tunasondeka
Maisha ya vipindi
Tunasondeka aha, tunasondeka
Takataka labish
Tunasondeka yeah, tunasondeka
Ati sambaze nieke beti
Tunasondeka aha, tunasondeka

Break it down down down
Waambie nimekam ah Naiboi nimekam eeh
Mbogi ya Kenya imekam
Waambie tumekam na ubaya tumekam eeh
Mbogi ya Kenya imekam
Waambie nimekam ah Naiboi nimekam eeh
Mbogi ya Kenya imekam
Waambie tumekam ah Naiboi nimekam eeh

Wanaofanya wengi wanaojua wachache
Tunawalainisha!

Watch Video

About Sondeka

Album : Sondeka (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) Naiboi Worldwide
Added By : Huntyr Kelx
Published : Aug 13 , 2019

More NAIBOI Lyrics

NAIBOI
NAIBOI
NAIBOI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl