NACHA Aah Wapi cover image

Aah Wapi Lyrics

Aah Wapi Lyrics by NACHA


It's been a long time coming 
Bongo Tz, UG Kampala na E

Baby, jamani nina shida ya buku
Dah! Mbona hata mimi nyumbani sina hata luku
Mmmh, baby bahili kama nini?
Eee! We ulidhani mama zinachimbwa chini?

Baby nilipie show ya Ali Kiba
Kesho wikendi kuna ligi LaLiga
Hela niliobakiza, mia tano
Ya kuingia banda umiza

Aaah, una maneno ya shoho
Eeh tumia sabuni ili ukate hiyo shoho
Baby ninunulie koni
Sa ya nini wakati mi mwenyewe nina koni?

Hivi mnadhani si ni wajinga
Siku hizi hakuna madem goal-keeper
Natafta-unatafta, naleta-unaleta
Tatizo wanawake wa sikuhizi mnadeka

Nifanye niishi kama diva doll
Ata mimi kama Jigger boss

Baby nataka nyumba Tabata(Aah wapi)
Simu ya smartphone(Aah wapi)
Shopping kwa mall(Aah wapi)
Unadhani zinachimbwa chini mama(Aah wapi)

Baby vipi pizza ama burger(Aah wapi)
Peruvian hair(Aah wapi)
Private car(Aah wapi)
Unadhani zinachimbwa chini mama(Aah wapi)

Nataka hewa ya wanja na make-up boshori
Sa si bora tu nika-date na mdoli
Nina majukumu ya familia
Mimi ndio baba, mi ndio mama wa familia
Wadogo wananiangalia, ada ninalipia
Alafu na wewe Bi. Dada unataka pia?

Alafu unatoa maboko
Kwani we hujui kakangu John Boko
Yaani we kaka bahili kuchunwa 
Utachuna nini? Mifupa mwili mzima

Hakuna high heels, wigi kajala
Ukitaka kusukwa kwa sista Mbagala 
Yaani bas tu, huna hata mvuto
Enda uka-date na sumaku ka unataka mvuto

Baby nataka nyumba Tabata(Aah wapi)
Simu ya smartphone(Aah wapi)
Shopping kwa mall(Aah wapi)
Unadhani zinachimbwa chini mama(Aah wapi)

Baby vipi pizza ama burger(Aah wapi)
Peruvian hair(Aah wapi)
Private car(Aah wapi)
Unadhani zinachimbwa chini mama(Aah wapi)

Eey, mnyasubi ndani ya mbanyu baby
Scooper the boss, 
Awesome Nacha NAA-CHA-A 
Wamechokoza mbeya 

Lets take over the game

Watch Video

About Aah Wapi

Album : Aah Wapi (Single)
Release Year : 2019
Copyright : All rights to the owner.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jul 19 , 2019

More NACHA Lyrics

NACHA
NACHA
NACHA
NACHA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl