Subiri (Wait) Lyrics by MERCY MASIKA


[CHORUS]
Afadhali kungoja kumgoja bwana
Subiri, subiri bwana
Afadhali kungoja kumgoja bwana
Subiri, subiri bwana

[VERSE 1]
Usichukue njia ya mkato
Usipotoshwe na shauri la wasio haki
Heri mtu yule, afuataye sheria ya bwana
Atakuwa kama mti, kando kando ya maji
Huzaa matunda, kwa majira yake
Kila atendalo atafanikiwa

[CHORUS]
Afadhali kungoja kumgoja bwana
Subiri, subiri bwana
Afadhali kungoja kumgoja bwana
Subiri, subiri bwana

[VERSE 2]
Umekuwa na maswali mengi mno
Unashangaa mungu yuko wapi
Umebisha bisha mungu yuko wapi
Kufunga na kuomba
Kukesha na kuomba
Hupati majibu
Mungu sio mwanadamu, hadanganyi
Subiri kwa imani, subiri, wewe subiri

[CHORUS]
Afadhali kungoja kumgoja bwana
Subiri, subiri bwana
Afadhali kungoja kumgoja bwana
Subiri, subiri bwana
Subiri, subiri bwana
Subiri, subiri bwana
Subiri, subiri bwana
Subiri, subiri bwana
Subiri, subiri bwana
Subiri, subiri bwana
Subiri, subiri bwana

Watch Video

About Subiri (Wait)

Album : Subiri (Wait)
Release Year : 2019
Added By : Farida
Published : Apr 13 , 2020

More MERCY MASIKA Lyrics

MERCY MASIKA
MERCY MASIKA
MERCY MASIKA
MERCY MASIKA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl