MEJJA Landlord cover image

Landlord Lyrics

Landlord Lyrics by MEJJA


Landlord yo
Landlord yo
Landlord yo
Landlord yo
Landlord yo
Landlord yo
Landlord yo
Landlord yo

Asubuhi imefika nimeamka bila balaa
Naeka mkeka chini napiga swalaa
Naenda zangu bafu kisha mambo safi
Navaa chini sneaker, juu navaa shati
Kisha... ksh ksh... oh sinanga marashi
Nakunywa kahawa nikiteremsha kaimati
Naskia kuna mtu anabisha mlangoni
Kuenda kufungua, ah katoto kajirani
Huwa kananipenda, ye hukuwa beshte yangu
Mejja usisahau leo kuniletea madafu
Leo ni lazima, redio inanibamba
Juu kila station inacheza genge mbaya
Juu nishashiba sa ni kuenda ku-hustle
Nikienda kutoka ndio nifungue mlango
Eh, jo, beste siamini
Napata mwenye nyumba na kifuli mkononi

Eh! Usiniharibie siku bana landlord
Umenifika kwenye koo (eh eh eh)
Wee ni tafash tu

Usiniharibie siku bana landlord
Umenifika kwenye koo (eh eh eh)
Wee ni tafash tu

Usiniharibie siku bana landlord
Umenifika kwenye koo (eh eh eh)
Wee ni tafash tu

Mwenye nyumba amekubali amenipa mpaka jioni
Sija chukulia hata gomba juu leo niko mbioni
Napigia Omondi, si unitupie mkopo
Mejja wee nasahau, si niko na deni yako
Wazi naenda kwa Vaite kuchukulia ketepa
Kuna manzi ako mbele yangu amejibeba
Mi na yeye hapo natupa lugha
Ashaanza kudai imagine sijakula
Staki ajue mi hukula mandazi surwa
Tunakula Steers, nanunua beer
Kisha zikimbamba anaanza kuniambia
Sikujui lakini nakutaka sana itisha taxi tena haraka
Kufika keja kwanza ni kushtuka
Tumekula Steers na hujalipa nyumba
Sijui kwa nini nimesahau kukumbuka

Eh! Usiniharibie siku bana landlord
Umenifika kwenye koo (eh eh eh)
Wee ni tafash tu

Usiniharibie siku bana landlord
Umenifika kwenye koo (eh eh eh)
Wee ni tafash tu

Usiniharibie siku bana landlord
Umenifika kwenye koo (eh eh eh)
Wee ni tafash tu

Usiniharibie siku bana landlord
Umenifika kwenye koo (eh eh eh)
Wee ni tafash tu

Usiniharibie siku bana landlord
Umenifika kwenye koo (eh eh eh)
Wee ni tafash tu

Usiniharibie siku bana landlord
Umenifika kwenye koo (eh eh eh)
Wee ni tafash tu
Sijiskii kuhama na sitaki more 

Watch Video

About Landlord

Album : Landlord
Release Year : 2016
Copyright : ©2016
Added By : Its marleen
Published : Apr 24 , 2020

More MEJJA Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl