Sina Lyrics by MEJA KUNTA


Aaah, ooooh!!
Oyaa, oyaa
Oyaa, oyaa oyaa
Oyaa, oyaa oyaa

Labda nipate nafasi
Niseme nawe kidogo
Mwenzako moyo waenda kasi
Nimekumiss sio kidogo

Labda nipate nafasi
Niseme nawe kidogo
Mwenzako moyo waenda kasi
Nimekumiss sio kidogo

Nikueleze mapenzi
Hivi unajua  
Yanaweza kufanya ukalia
Kumbe hupendwi unajisumbua

Ye anaonaa, mama mapenzi
Hivi unajua 
Yanaweza kufanya ukalia 
Kumbe hupendwi, unajisumbua

Yee anaonaa 
Mpenzi nakupenda 
Ukiwa mbali mi nateseka 
Kumbe mshenzi anadanga
Na ukikata simu anacheka

Jamani aah, aah
Oooh (Oooh), aah!!
Oooh (Oooh), aah!!

Sina sina sina sina sina
Sina wa kunifariji mie
Wa kunipenda mie
Sina wa kunifariji mie
Wa kunipenda mie

Sina sina sina sina sina
Sina wa kunifariji mie
Wa kunipenda mie
Sina wa kunifariji mie
Wa kunipenda mie

Mi najiuliza mengi
Hivi ni nani aniwazaye
Mbona sipendwi
Ama riziki yangu baadae

Mi napata uchizi
Jamani nani anipendaye
Mi sijiwezi
Hivi ni yupi mi niwe naye

Yote sawa nishachoka kuwa roho juu
Usiponipenda utajiju
Ila siwezi lia na wewe tu
Bora nijidangie vibabu babu

Aaah aah... nijidangie vibaby

Sina sina sina sina sina
Sina wa kunifariji mie
Wa kunipenda mie
Sina wa kunifariji mie
Wa kunipenda mie

Jamani aah, aah
Oooh (Oooh), aah!!
Oooh (Oooh), aah!!

Oh jamani ona mchicha uko nyuma
Umeinuka ivo
Oooh jamani ukienda mbele poa (Poa)
Basi poa poa poa (Poa)

Ukiinuka poa (Poa)
Wanafunzi poa (Poa)
Aaah meja hebu tulia kwanza
Chefuuu!!

Watch Video

About Sina

Album : Sina (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 24 , 2020

More MEJA KUNTA Lyrics

MEJA KUNTA
MEJA KUNTA
MEJA KUNTA
MEJA KUNTA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl