Happy Birthday Lyrics by MBUZI GANG


Happy birthday wewe,  wee
Tukate maji leo, tukate maji leo
Unywe mpaka ulewe, eeeh
Ni siku yako leo, ni siku yako leo

Happy birthday wewe,  wee
Tukate maji leo, tukate maji leo
Unywe mpaka ulewe, eeeh
Ni siku yako leo, ni siku yako leo

Siku ya kuzaliwa ni majaliwa
Unataka tei ama tumwage maziwa
Achilia njiwa na tei utamwagiwa
Nina roho safi mienendo zangu pure

Usijifanye savage keki utatiwa 
Dishi iko few so jo mkuje fewer 
Liwe liwalo mti jo huwanga cure
Mida ya saa sita shawty analipuliwa

Na niko kej niko zangalewa
Leo ni bash yangu kila mtu pewa
Kila mtu K.O mikono juu ya hewa
Juu ya track marathon mbuzi tumelewa

Happy birthday wewe,  wee
Tukate maji leo, tukate maji leo
Unywe mpaka ulewe, eeeh
Ni siku yako leo, ni siku yako leo

Kama una maji mwagia, mwagia
Kama una pombe mwagia, mwagia
Kama una soda mwagia, mwagia
Mwagia mwagia, mwagia mwagia

Kama una maji mwagia, mwagia
Kama una pombe mwagia, mwagia
Kama una soda mwagia, mwagia
Mwagia mwagia, mwagia mwagia

Mwaro ali-- sana ye kwenda raw nikazaliwa
Kwetu kuna kabaridi sana, sitaki maji leo kumwagiwa
Ni kuwai njiwa hadi kuku patiwa
Msupa amekam kwa bash tu kukatiwa
Ata ka wanijui pale status nasifiwa
Mzinga ikikatika nikupate zimeshika
Aya sa skiza, usikule food ka unajua utatapika
Sa sa skiza, usikuje bash ka kuromboseana shida

Happy birthday wewe,  wee
Tukate maji leo, tukate maji leo
Unywe mpaka ulewe, eeeh
Ni siku yako leo, ni siku yako leo

Happy birthday wewe,  wee
Tukate maji leo, tukate maji leo
Unywe mpaka ulewe, eeeh
Ni siku yako leo, ni siku yako leo

Kama una maji mwagia, mwagia
Kama una pombe mwagia, mwagia
Kama una soda mwagia, mwagia
Mwagia mwagia, mwagia mwagia

Kama una maji mwagia, mwagia
Kama una pombe mwagia, mwagia
Kama una soda mwagia, mwagia
Mwagia mwagia, mwagia mwagia

Wote kwa hii party wazee tulizaliwa sindio
Mi nataka kuskia let's go
January, February, March, April
Tupige nduru manzee....eeeeh
May, June, July, August
Wapi nduru manzee....eeeh
September, October, November, December
Nduru manzee....eeeh
Wapi nduru manzee....eeeh
Siwaskii wapi nduru manzee....eeeh

Kama una maji mwagia, mwagia
Kama una pombe mwagia, mwagia
Kama una soda mwagia, mwagia
Mwagia mwagia, mwagia mwagia

Kama una maji mwagia, mwagia
Kama una pombe mwagia, mwagia
Kama una soda mwagia, mwagia
Mwagia mwagia, mwagia mwagia

Siku yako ya kuzaliwa
Kila mtu apatiwe miwa
Tunaparty hadi kwa njia
Shika msupa we mwagia

One time it's your birthday
Cheza nami gyal kwenye party
Tunarepresent full party
From Monday mpaka Sunday

Make-up imewaka kadress kamefit
Figa namba nane you physically fit
Wallet imebeba dollar na shillings
Kwenye neck tumepiga...

Happy birthday wewe,  wee
Tukate maji leo, tukate maji leo
Unywe mpaka ulewe, eeeh
Ni siku yako leo, ni siku yako leo

Watch Video

About Happy Birthday

Album : Three Wise Goats (Album)
Release Year : 2022
Copyright : (c) 2022
Added By : Huntyr Kelx
Published : Feb 16 , 2022

More MBUZI GANG Lyrics

MBUZI GANG
MBUZI GANG
MBUZI GANG
MBUZI GANG

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl