Tamu Sana Lyrics by MAXYN


Tamu sana, tamu sana
Sidhani moyo wangu ushaskia hivi
We ndo umenifanya niskie ka nachizi
Baby nauliza tutapatana lini?

Naeza vaa dera naeza kuvalia mini
Naeza tingiza mpaka ukose kuamini
Naeza zungusha mpaka udhani ni majini
Tofauti ya kujichocha na kujiamini

----
Luo language
----

Ni tamu sana ni tamu
Ama kuna kitu unanifanya
Ju ni tamu sana ni tamu
Naona kuna kitu unanifanya

Endelea, wekelea 
Endelea, wekelea 
Endelea, ekelea  
Ju ni tamu sana ni tamu

Mayo mayo mayo mayo
Ah ukipinda mgongo
Ah bebo bebo bebo
Hera nyoka-- loko
----

Sitobanduka
Design nalishwa mavitu ki kamasutra
Wapi natoa hii nguvu ya kukuacha
Hiki kitendawili jawabu nishapata
Jiko kamili mapenzi yamenoga
Eti baridi darasa nishavuka
Hata Nviiri aliyabaridi mbaya

Ni tamu sana ni tamu
Ama kuna kitu unanifanya
Ju ni tamu sana ni tamu
Naona kuna kitu unanifanya

Endelea, wekelea 
Endelea, wekelea 
Endelea, ekelea  
Ju ni tamu sana ni tamu

Ni tamu sana ni tamu
Ama kuna kitu unanifanya
Ju ni tamu sana ni tamu
Naona kuna kitu unanifanya

Endelea, wekelea 
Endelea, wekelea 
Endelea, ekelea  
Ju ni tamu sana ni tamu

Watch Video

About Tamu Sana

Album : Tamu Sana (Single)
Release Year : 2022
Copyright : (c) 2022
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 23 , 2022

More MAXYN Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl