MAUA SAMA Shukurani cover image

Shukurani Lyrics

Shukurani Lyrics by MAUA SAMA


Hicho kibali umenipa
You know why eeh
Sina cha kukulipa
Kwangu you’re the one eeh

Unajua wapo wasionipenda
Lakini bado unanikinga
Upo Nami kila ninapokwenda
Hata kama ni sehemu usizopenda

Wanatamani wanilaze macho
Ama kabisa nisione
Nisiwe hata na nilichonacho
Ila unaning’aza wanione

Aaaaaaaaaaa aaiyaa ayyayayaya
Aaaaaaaaaaa aaiyaa ayyayayaya

Shukurani Kwako, uzima umenipa wewe
Shukurani Sana
Kila dakika kila wakati
Shukurani Baba
Shukurani (ooooyeaaayeah)

Milango inazidi funguka
Na bado I am winning
Nikitazama nilipotoka
I am grateful unanibariki

Wanadhani yangu taaa itaZima
Mbona watasubiri sana
God’s making me shine like a star
Kila nnachomuomba ye hufanya

Wanatamani wanilaze macho
Ama kabisa nisione
Nisiwe hata na nilichonacho
Ila unaning’aza wanione

Aaaaaaaaaaa aaiyaa ayyayayaya
Aaaaaaaaaaa aaiyaa ayyayayaya
Shukurani Kwako, uzima umenipa wewe
Shukurani Sana
Kila dakika kila wakati
Shukurani Baba
Shukurani (ooooyeaaayeah)

Never seen this kind of love before
Never seen this kind of love before
Never seen this kind of love before
Never seen this kind of love before

Shukurani Kwako
Uzima umenipa wewe
Shukurani Sana
Kila dakika kila wakati
Shukurani Baba
Shukurani (ooooyeaaayeah)

Watch Video

About Shukurani

Album : Shukurani (Single)
Release Year : 2022
Copyright : (c) 2022
Added By : Huntyr Kelx
Published : Feb 24 , 2022

More MAUA SAMA Lyrics

MAUA SAMA
MAUA SAMA
MAUA SAMA
MAUA SAMA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl