MARTHA MWAIPAJA Muhukumu wa Haki cover image

Muhukumu wa Haki Lyrics

Muhukumu wa Haki Lyrics by MARTHA MWAIPAJA


Parapanda itapigwa, itapigwa 
Parapanda itapigwa, itapigwa 
Parapanda itasika, itasikika 
Parapanda itasika, itasikika 

Hapo ndipo mfalme wa haki atakapotawala 
Hapo ndipo mfalme wa kweli atakapotawala 
Maana dunia ya leo watu wanapendeleana
Maana dunia ya leo watu wanapendeleana

Atatawala mwenye dunia 
Atatawala mwenye watu wake
Maana dunia ya leo watu wanapendeleana 
Maana dunia ya leo watu wanapendeleana 

Hapo ndipo falme zote za dunia zitanyamaza 
Mwenye wa kweli atawala 
Atasimamia mahakama zote kwa haki 
Atasimamia kesi zote kwa haki 
Kila mmoja atalipwa sawa 

Dunia yote itatiishwa kwenye uweza wake 
Dunia yote itashangaa alivyo wa haki 
Mataifa watajua yeye ni mwema 

Hapo ndipo wote tutajua kwamba yeye ni Baba 
Dunia yote itaelewa ni mhukumu wa haki 
Maana dunia ya leo watu wanasaidiana 
Maana dunia ya leo watu wanasaidiana 

Atatawala asiyejua pendelea mwingine 
Watu wa leo wanatazama sifa ya mtu 

Majira yanakuja ya kujua Baba wa kweli 
Majira yanafika watamjua Mungu wetu 
Leo hawatambua machozi tunayolia 
Leo hata ukilia hakuna wa kutazama 

Hata ukiteswa hakuna wa kutazama 
Wakati unakuja Baba atatawala kwa haki 
Hapo ndipo falme zitajua yeye ni mfalme 
Hapo ndipo dunia itaelewa yeye ni Bwana 

Tutapanguzwa machozi yetu na sisi 
Tutapanguzwa machozi yetu na sisi 
Tutaheshimiwa na dunia na sisi 
Tutaheshimiwa na watu wote na sisi 

Hawawezi tambua haki yako leo hii 
Maana dunia ya leo watu wanasaidiana 
Hakuna wa kutetea maisha yako 
Maaana tawala za leo wanapendeleana 

Anakuja mtawala wa haki kutusaidia 
Anakuja mtawala wa haki kutusaidia 

Utafurahi na Baba 
Tutashangilia kwa Baba 
Maana falme wake Baba itakuwa ni yenye haki 
Maana falme wake Baba itakuwa ni yenye haki 

Baba yetu atawala aah haa

Atatawala haaa (Atatawala Massiah Massiah)
Atatawala haaa (Atatuwala mwenye haki, Massiah)
Atatawala haaa (Atatawala, atatulipa wote)
Atatawala haaa  (Eeh baba, eeh baba)

Atatawala haaa (Atatubembeleza Baba)
Atatawala haaa (Atawala Baba, atatawala Baba)
Atatawala haaa (Atatawala, Massiah wetu)
Atatawala haaa (Atatulipa Yesu, Atatulipa Yesu)

Atatawala haaa (Eeh Baba, eeh Baba atatawala)
Atatawala haaa (Atawala, atatawala, atatawala)
Atatawala haaa (Atatawala kwa haki Baba atatawala)
Atatawala haaa (Ooooh, lalalala ha!)

Watch Video

About Muhukumu wa Haki

Album : Muhukumu wa Haki (Album)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 24 , 2020

More MARTHA MWAIPAJA Lyrics

MARTHA MWAIPAJA
MARTHA MWAIPAJA
MARTHA MWAIPAJA
MARTHA MWAIPAJA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl