Unanikosha Lyrics by MARIOO


(Mocco)

Mmh aah weka utam my lady
Kabla hakujakucha my lady
Mmmh aah nahisi nadedi
Ukisimama kwa ukuta my lady

Aah nahisi joto sio joto baridi sio baridi
Mmh nakuwa katoto katoto we unavyonifariji

Hizo bingiri bingiri mpaka chini
Nakupa pingili bafuni kabatini
Beiby lako timwili timbwili la kijini
Mmmh aah aaah 

We ndo unikosha
We ndo unanikosha(Aah aah umenikaa)
We ndo unanikosha(Mmh aah unanikaa)
We ndo unanikosha

Baby nipe tena kimoko 
Kisheti ninywe na chai
Wa kusela kusema wanoko
Nipetii niwe nishai

Bila wewe lazizi nahisi ningehenyeka sana
Nataka nikutoe beiby kwa mpaka bana
Ila wewe lazizi kueneka bana
Nataka nikutoe beiby mmh

Hizo bingiri bingiri mpaka chini
Nakupa pingili bafuni kabatini
Beiby lako timwili timbwili la kijini
Mmmh aah aaah 

We ndo unikosha
We ndo unanikosha(Aah aah umenikaa)
We ndo unanikosha(Mmh aah unanikaa)
We ndo unanikosha

Aah niko nyuma naiokota
Dondosha mmh aah dondosha
Ukizima naikokota
Dondosha mmh aah dondosha

Fanya kama kuisokota
Dondosha aah aah dondosha
Mbona kama inatokota
Dondosha, dondosha

Watch Video

About Unanikosha

Album : Unanikosha (Album)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 25 , 2020

More MARIOO Lyrics

MARIOO
MARIOO
MARIOO
MARIOO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl