MARIOO Raha cover image

Raha Lyrics

Raha Lyrics by MARIOO


Aah mmmh mmmh
Ah unaringa umepima? Aii utajiju
Huu mwaka utachina
Si ulileta unyang'au

Ukaukwi kunitishia
Unaondoka unaondoka
Kama daladala za Kariakoo
Inatoka inatoka

Hadharani unanisusia
kuropoka ropoka
Ama domo lako shimo la choo
Yanakutoka

Na kwa taarifa yako siwezi kuanguka
Maana nishapata pa kuegemea
Mmmmh napendwa, na sio kwa ninavyojidekea
Hulka yako ya pupa, mwenzako ananinyenyekea

Oooh kutendwa
Nakusikia kwenye bomba
Na tena naenjoy

Mpa ka raha mpaka natakatishwa
Mpa ka raha mpaka anipaga kutwa mara tatu
Mpa ka raha mpaka naogeshwa nakandwa
Mpa ka raha mpaka na tena naenjoy

Napenda akinipa 
Akinipa migandisho
Kama anapigwa shoti
Akisakata migandisho

Na kama mapenzi
Roho yake bahari 
Huu muda naelea
Maana nishazamaga
Nishakufa mzoga

Na kama penzi melody kali
Mi kwake ndo burudani 
Wala sidhani ka
Ataridhika kunikosa

Na kwa taarifa yako siwezi kuanguka
Maana nishapata pa kuegemea
Mmmmh napendwa, na sio kwa ninavyojidekea
Hulka yako ya pupa, mwenzako ananinyenyekea

Oooh kutendwa
Nakusikia kwenye bomba
Na tena naenjoy

Mpa ka raha mpaka natakatishwa
Mpa ka raha mpaka anipaga kutwa mara tatu
Mpa ka raha mpaka naogeshwa nakandwa
Mpa ka raha mpaka na tena naenjoy

Watch Video

About Raha

Album : Raha (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jul 23 , 2019

More MARIOO Lyrics

MARIOO
MARIOO
MARIOO
MARIOO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl