Aya Lyrics by MARIOO


Mmmh,mmmmh 
Uwooo yeiye
(Mocco)
Mmmh,mmmmh 

Ndo kusema kwamba nina bahati mbaya
Ama ni nyota imefifia ah
Maana sio kweli 
Kila siku mimi ndo  naumia 

Ndo kusema kwamba sura yangu mbaya
Haina hulka ya kuvutia ah
Maana sio kweli 
Kila siku mimi ndo naumia 

Ina maana penzi 
Lingekuwa chombo cha usafiri
Ningekosa hata sehemu ya kusimama
Ningewezaje? Nitawezaje?

Au labda mapenzi 
Hufaa kwa matajiri
Alafu mi hapa sina maana
Sa nitaanzaje? Nitaanzaaje?

Inawezekanaje nikose kufurahi 
Siku zote ninazoishi na uhai
Najua Mungu hapendi
Walimwengu mna visa

Nikisema niage nitakuwa najilaghai
Moyo utakuwa bado unanidai
Acha niweke imani
Ipo siku nitaridhishwa

Aya! Aya!
Aya! Aya!

Na sinacho maanisha mnakijua
Kuyakosa mapenzi inanitesa
Sawa nakua nayaona
Sa mbona yananizidia?

Hivi nacho maanisha mnakijua?
Upweke unanitesa
Halafu nakuwa nawaona
Wengine wanaenjoy(Aaah!)

Ingekuwa gambe  
Ndio dawa ya mawazo
Ningekunywa nilewe
Aah nilewe, nilewe

Inawezekanaje nikose kufurahi 
Siku zote ninazoishi na uhai
Najua Mungu hapendi
Walimwengu mna visa

Nikisema niage nitakuwa najilaghai
Moyo utakuwa bado unanidai
Acha niweke imani
Ipo siku nitaridhishwa

Aya! Aya!
Aya! Aya!

MoccoGenius!

Watch Video

About Aya

Album : Aya (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 15 , 2020

More MARIOO Lyrics

MARIOO
MARIOO
MARIOO
MARIOO

Comments ( 1 )

.
Koodii Rayneey 2020-04-20 13:54:01

Good work... Perfect!



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl