Namna Gani Lyrics by MAN JUA


Namna gani, mbona kama unakosa furaha
Huh namna gani,  Mbona kama feru unashangaa
Namna gani, unakuwa kidume na sio shujaa
Namna gani we unakaa kidume unadanga 
Namna gani, bado mdogo unawanga
Namna gani, umekuwa mkubwa na hujajipanga
Namna gani, unataka gari na huna kiwanja

Namna gani?
Namna gani?
Namna gani?
Namna gani?

Namna gani, unazomea kipofu hakuoni
Namna gani, mbingwa una mambo ya kikoloni
Namna gani, huchezi ngoma unaweka kapuni
Nashangaa umepanda, umepanda ukashuka
Kweli maisha ni muziki
Ndo vile ukalala ukakumbuka na shuka
Kumbe kumeshakucha

Namna gani, basi barida barafu
Samaki si umenasa kwenye nyavu
Mziki wa sasa kiki kiki
Vitanda navyo kwichi kwichi

Namna gani?
Namna gani?
Namna gani?
Namna gani?

Namna gani kujifanya hunipendi ukilala unaniota
Namna gani kujifanya hupendi kisima na maji unachota
Namna gani kunenepa kati nakudai
Namna gani sura mbaya na hupaki dye
Namna gani mwenye nyumba kupandisha kodi
Namna gani sharobaro nguo za kukodi
Yaani inapoa inapoa, inapoa

Namna gani?
Namna gani?
Namna gani?
Namna gani?

Watch Video

About Namna Gani

Album : Namna Gani (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Sep 10 , 2019

More MAN JUA Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl