Chepukati Lyrics by MAJIRANI


Candy n Candy!
Uuuu...uuuuuuu
Mavo yaani majirani ametujoin aki
Eeh kujeni tufukuze hao mambleina aki
Yaani chepukati, wakwende!
Hii unaeza chomoa nayo mark bana oka! 

(Mavo on the Beat)

Mi ni simba tena sio ndama
Nimekuwa nikiwaandama 
Muda mwingi nikiwatazama
Zigo boring tena za fanana

Nguo baggy tena za kimbleina
Uatani je utawezana?
Mimi baba tena baba Etana
Baba tena baba ya Etana

Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)

Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)

Stepping stepping nastep nikiringa
Juu ya looku fine ndula ni Adidas
Tukimuok de jua watabuya
Hii ni sailors mbogi ya wajanja

KRG uliskia wapi dinga
Tunadai ship kam na mizinga
Mi napenda bomb bomb tukiparty
Mi nasaka nitapata, nizipate nipate

Kupeleka mama tu maparty
Ale pizza na makuku 
Leta baze ni mamate
Kisha bomb bomb bomb ndio nijikate

Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)

Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)

Ngoja ngoja, ngoja ngoja
Ngoja ngoja, ngoja ngoja
Ati buda niliskia 
Unasema si tunakudare

Usenge ni usenge 
Usituletee ujinga ni uburukenge
Na madenge ni madenge
Na maboy washikana wawape miti

Ah usenge ni usenge 
Usituletee ujinga ni uburukenge
Na madenge ni madenge
Na maboy washikana wawape miti

Nimejiblock ndio maana unaona nikipuke
Acha niite Betty ju dame amebeat


So fine ka mat za Ong'ata 
Tunachafua mpaka disco matanga
Yesu akirudi atapata kameshika
Niko na miracle tunafanya miujiza

Long time nimerudi na sibishi
Industry niko official bila suti
Mbogi ya sailors tunajua kametiki
Wachokeshe ka updates za Mutahi

Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)

Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)

Hapa ni wapi tumezungukwa na mangoko
Na pia KFC si hukulanga tu mangoko
Hapa ni wapi tumezungukwa na masonko
Ju si kusota itakuwa tu ni mathongo

Club kuchondoka itakuwa ni mathongo 
Woii woii itakuwa ni mathongo
Club kuchondoka itakuwa ni mathongo 
Woii woii itakuwa ni mathongo

Narobi eeh (Eeh) Nairobi aaah (Aah)
Narobi eeh (Eeh) Nairobi aaah (Aah)

Nina form so inabidi muijaze
Kameshika niko jaba hadi ngware
Mna vitisho mambwe mbwe kelele
So bazu nimefika mkalale

Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)

Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)

Mnasemanga akoko ni wazimu
Mi wazimu wa mawazimu skiza
Ni hii kitu imefanyika juu ya Nara
Nara aah, nara weee

Watch Video

About Chepukati

Album : Chepukati (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 MRX Media.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Sep 15 , 2020

More MAJIRANI Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl