MADINI CLASSIC Nitavumilia  cover image

Nitavumilia Lyrics

Nitavumilia Lyrics by MADINI CLASSIC


Ni kama nakosa pumzi
Maneno yanakwisha eeh
Nimeona mengi
Binadamu hawana mema eeh

Ni kama nakosa pumzi
Maneno yanakwisha eeh
Nimeona mengi
Binadamu hawana mema eeh

Chonde chonde roho yangu
Usifanye hasira initawale
Nionekane mbaya mimi eeh

Ona wanasema nanii 
Kamtongoza nanii
Hata baada ya kuniibia haoni
Binadamu wabaya

Ona nabaki nalia na moyo wangu(Sana)
Wananitukana mpaka wezangu(Sana)
Nani aponye kidonda changu?
Mama Madini roho yangu

Nitavumilia tu(Kwa sana)
Mimi nitavumilia(Kwa sana)
Nitavumilia tu(Kwa sana)
Mimi nitavumilia(Kwa sana)

Nitavumilia tu(Kwa sana)
Mimi nitavumilia(Kwa sana)
Nitavumilia tu(Kwa sana)
Mimi nitavumilia ooh(Kwa sana)

Mama Madini anauliza 
Mwanangu wapi wajukuu
Ila mitandaoni wanasema
Eti nimemtaliki mwanangu

Oooh ona maadui hawajalala
Wananipigia mpaka usiku
Eti handsome umekula?
Ndio kesho waseme seme

Na Mungu si athumani
Kuna wanaonipenda 
Naomba msiniache 

Chonde chonde roho yangu
Usifanye hasira initawale
Nionekane mbaya mimi iyee

Ona wanasema nanii 
Kamtongoza nanii
Hata baada ya kuniibia haoni
Binadamu wabaya

Ona nabaki nalia na moyo wangu(Sana)
Wananitukana mpaka wezangu(Sana)
Nani aponye kidonda changu?
Mama Madini roho yangu

Nitavumilia tu(Kwa sana)
Mimi nitavumilia(Kwa sana)
Nitavumilia tu(Kwa sana)
Mimi nitavumilia(Kwa sana)

Nitavumilia tu(Kwa sana)
Mimi nitavumilia(Kwa sana)
Nitavumilia tu(Kwa sana)
Mimi nitavumilia ooh(Kwa sana)

Watch Video

About Nitavumilia

Album : Nitavumilia (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Aug 15 , 2019

More MADINI CLASSIC Lyrics

MADINI CLASSIC
MADINI CLASSIC
MADINI CLASSIC
Ex
MADINI CLASSIC

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl