MADEE Waache Waongee cover image

Waache Waongee Lyrics

Waache Waongee Lyrics by MADEE


Waache waongee
Waache waongee
Waache waongee
Waache waongee
 
Siku ukipata chongoka bila sababu
Watafurahi wabongoke
Ila ikiwa wamechongoka kitu cha ajabu
Zitaanza longo longo(Hahahaha...)
 
Zitaanza lawama
Haongei na wana
Anauza unga, anatumia dumba
Amejiumba alafu anakunja kunja
 
Watu bwana, wanafanya
Nikifanya mimi wanasema natukana
Ona wanakwama, wanazama
Ni watoto wa kiume, haja ndogo wanachutama
 
Eeeh
Waache waongee(Watu bwana)
Waache waongee
Waache waongee(Hawana maana)
Waache waongee
 
Waache waongee(Watu bwana)
Waache waongee
Waache waongee(Hawana maana)
Waache waongee
 
Mwaka jana nilipandishwa kizimbani
Kelele zao nyingi nauza unga kitaani
Wakaja wazee, mamwere wakaniweka ndani
Wakataifisha mali, majumba na vya dhamani
 
Mungu Baba, nafanya ibada
Na nina roho nguma kama paka roho saba
Walinipa mada, akanga mimi sada
Na nikipatacho kidogo natoa misaada
 
Watu bwana, wanafanya
Nikifanya mimi wanasema natukana
Ona wanakwama, wanazama
Ni watoto wa kiume, haja ndogo wanachutama
 
Eeeh
Waache waongee(Watu bwana)
Waache waongee
Waache waongee(Hawana maana)
Waache waongee
 
Waache waongee(Watu bwana)
Waache waongee
Waache waongee(Hawana maana)
Waache waongee
 
Nikitaka kutoka, wanalenga kunishoot
Hawataki nivae moka, ninyonge tai nivae suti
Nishachoka kulea, zile mimba zao za chuki
Watu wanaongea, mbele ya Mungu ni mamluki
 
Ndio maana mimi(Waache waongee)
Milele najiami
If you feel me(Come on, come on)
Piga goti chini
Waache waongee...waache waongee

Watch Video

About Waache Waongee

Album : Waache Waongee (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Aug 20 , 2019

More MADEE Lyrics

MADEE
MADEE
MADEE
MADEE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl