BEKA FLAVOUR Nampenda cover image

Nampenda Lyrics

Nampenda Lyrics by BEKA FLAVOUR


Mwenzako hoi taabani, mimi kwako sijiwezi, sijiwezi
Umenilisha kitu gani, nambie basi mpenzi, mpenzi
Mahaba yako si utani, yananilevya kishenzi, kishenzi
Umenikamata yani umenimaliza
Unanitosha mahabuba
Natamani nikuhonce dunia mpenzi
Angali siwezi
Unanijazia mapenzi gunia yananimwagikia onaa
Nambie nikufanyie nini mpenzi
Kuzirudisha fadhila ma baby oyeeh oyeehh

Acha nionnekane dhaifu
Penzi lake nimenyooshea mikono juu
Sio siri nampenda nampenda nampenda
Acha nionekane dhaifu
Penzi lake nimenyooshea mikono juu
Sio siri nampenda nampenda nampenda
Yeye tuuuu

Nikupende kama ni dodo basi mi nimeokota
Hujawahi hata siku kunilocha
Unanita my king
Nakuita my queen
Unanipenda mpaka naogopa
Tumetulia hatuna mbambamba
Hayatugombanishi mambo ya kishamba
Mi nakujua hunaga madanga
Kuruka ruka muchezo ya kamba
Natamani nikuhonge dunia mpenzi
Angali siwezi unanijazia mapenzi gunia
Yananimwagikia onaa
Nambie nikufanyie nini mpenzi
Kuzirudisha fadhila ma baby oyeeh oyeehh

Acha nionnekane dhaifu
Penzi lake nimenyooshea mikono juu
Sio siri nampenda nampenda nampenda
Acha nionekane dhaifu
Penzi lake nimenyooshea mikono juu
Sio siri nampenda nampenda nampenda
Yeye tuuuu

Watch Video

About Nampenda

Album : Nampenda (Single)
Release Year : 2022
Added By : Farida
Published : Sep 22 , 2022

More BEKA FLAVOUR Lyrics

BEKA FLAVOUR
BEKA FLAVOUR
BEKA FLAVOUR
BEKA FLAVOUR

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl