Ayeye Lyrics by LINEX SUNDAY MJEDA


Usivunjike moyo haya majina tu yanapita
Kuna life after fame
Huna haja ya kuniacha
Tuianze safari nitakula kiapo
Cha utiifu na ukweli(Ayeye, eeeh)

Natamani niwe nawe, milele
Natamani mbingu na ardhi 
Ziwe shaidi wangu mie
Sio kwamba nakuomba ndoa 
Kwa sababu umri wangu unakwenda
Nimeshakwepa mishale mingi
Ndio maana wazi nasema nakupenda(Ayeye)

Nimemeeshwa, nimeoteshwa
Kuna kesho nasali kuniombea mema
Nimemeeshwa, nimeoteshwa
Kuna kesho nasali kuniombea mema

Hello, beautiful
It's you I've been looking for

Nikifaulu maisha 
Baby uwe nyuma yangu(Ayeye yee)
Kwenye misango ya mawazo
Nisiwe peke yangu(Ayeye yee)

Nisiwe jeshi la mtu mmoja
Nikishiba nisahau Mwenyeza(Ayeye yee)
Maisha ni ya mafupi
Twende wakati wetu tukawe sabakina (Ah ah ah)
Kuja niwe na mfetu
Uwe na mfetu(Ah ah ah) Uwe na mfetu

Natamani niwe nawe, milele
Natamani mbingu na ardhi 
Ziwe shaidi wangu mie
Sio kwamba nakuomba ndoa 
Kwa sababu umri wangu unakwenda
Nimeshakwepa mishale mingi
Ndio maana wazi nasema nakupenda(Ayeye)

Nimemeeshwa, nimeoteshwa
Kuna kesho nasali kuniombea mema
Nimemeeshwa, nimeoteshwa
Kuna kesho nasali kuniombea mema

Hello, beautiful
It's you I've been looking for

Watch Video

About Ayeye

Album : Ayeye (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 24 , 2020

More LINEX SUNDAY MJEDA Lyrics

LINEX SUNDAY MJEDA
LINEX SUNDAY MJEDA
LINEX SUNDAY MJEDA
LINEX SUNDAY MJEDA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl