JAMES MOTO Baba Madeni cover image

Baba Madeni Lyrics

Baba Madeni Lyrics by JAMES MOTO


Mtaani wanamuita baba madeni
Kila anapopita macho usoni
Sio kwamba ye anapenda kuwa hivyo
Ila ni kukosa pesa ndo chanzo cha matatizo

Majirani wanamdai kama wote 
Mtaani haonekani Insta kama Dangote
Kila duka anadaiwa kama teni
Anaogopa kupita naprint tuchochoroni

Benki anadaiwa laki tano 
Aliweka bondi haki ya kiwanja kwa mkutano
Sasa hivi anaishi kama popo
Leo yuko Sinza kesho gongo la moto

Mwenye nyumna hamtaki kwake kabisa
Na juzi kampa notice kisha ati wanasepa
Madeni yakafanya akwa star
Anashindia tu ndani nnje ni balaa

Nje ni balaa anashindia tu ndani
Nje ni balaa

Kila kona akipita wanamwita(Baba madeni)
Hadi mademu wanamuita(Baba madeni)
Baba mwenye nyuma anamuita(Baba madeni)
Majirani wanamuita(Baba madeni)

Baba madeni, baba madeni

Kwake mademu kibao wanamdai pesa mingi
Masista duu wa mjini wanaojina mashangingi
Kila kona guest zinamdai 
Kupita anaona noma kwa sababu hana bei

Mademu wengi wakimuona wanaenjoy 
Wanashoboka na yeye kwa sababu handsome boy
Wanakuja kwa rahisi wakidhani ye ni tighter
Anawapa maneno kisha anawakopa K

Kila kona akipita wanamwita(Baba madeni)
Hadi mademu wanamuita(Baba madeni)
Baba mwenye nyuma anamuita(Baba madeni)
Majirani wanamuita(Baba madeni)

Baba madeni, baba madeni

Watch Video

About Baba Madeni

Album : Baba Madeni (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Feb 19 , 2020

More JAMES MOTO Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl