Nitake Nini Lyrics by LAVA LAVA


Aaaaheeeh…

Kwako tena sitamani
Nilishajua nilivaba
Huna jipya
Kurudi haiwezekani
Nishalioga janaba
Nikajisafisha uhmmm

Oh maradhi yangu
Yamepata muguzi
Mola wangu
Amenivusha vihunzi
Pole mwenzangu
Unokesha kwa waganguzi
Nishapata wangu
Anaejua nogesha chuzi  
Naa ananipa mapenzi na kunijari dia
Ya nyuma niyasahau
Na anamaliza tenzi kutwa kunisifia
Kwa methali na nahau
Kwingine nitake nini

Ntang’angana, Nang’ang’ania
ohoo mimi
Nang’ang’ana nang’ang’ania
Sitaki madanga wa mjini
Nang’ang’ana, nang’ang’ania
Oohooo mimi
Nang’ang’ana Nang’ang’ania
Aaah atake cha uvunguni

Sawa sawa
Pingili za sakafuni
Sawa sawa
Michezo ya kusaka kunguni
Sawa sawa
Tom na Jerry katuni
Sawa sawa (sawa ...)

Uliposema wa nini
Ye aliwaza atanipata lini
Kendebwe za nini
Na vijembe vya chini chini
Yupo makini
Penzi kashalibana na pini
Anipenda mimi
Hajazoea kuzini zini
Kwanza kakuzidi maarifa
Mpira tisini dakika
Nyavu anazitikisa aahee
Mlangoni mpaka kwa dirisha
Pindu ananipindisha
Mtoto ananifikisha aaaheee

Naa ananipa mapenzi na kunijari dia
Ya nyuma niyasahau
Naaa anamaliza
Tenzi kutwa kunisifia
kwa methali na nahau
Kwingine nitake nini

Ntang’angana, Nang’ang’ania
ohoo mimi
Nang’ang’ana nang’ang’ania
Sitaki madanga wa mjini
Nang’ang’ana, nang’ang’ania
Oohooo mimi
Nang’ang’ana Nang’ang’ania
Aaah atake cha uvunguni

Aah atake cha uvunguni
Sawa sawa
Pingili za sakafuni
Sawa sawa
Michezo ya kusaka kuguni
Sawa sawa eee
Tom na Jerru katuni
Sawa sawa (sawa)

 

Watch Video

About Nitake Nini

Album : Nitake Nini (Single)
Release Year : 2018
Added By : Afrika Lyrics
Published : Oct 14 , 2018

More LAVA LAVA Lyrics

LAVA LAVA
LAVA LAVA
LAVA LAVA
LAVA LAVA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl