KUSAH Hapana cover image

Hapana Lyrics

Hapana Lyrics by KUSAH


Hata waseme nini sikuachi
Ndio kwanza umepanda na chati
Umenidhibiti umeshika na shati
Umeshinda umevunja kamati

Mwenzio umejitoa mhanga 
Kwenye huba lako
Nichape nipeleke utakavyo
Mimi punda wako

Sitoshika simu yako
Ila shika yangu nimekubali
Hao hao wafiki zako
Wanokusema mimi sikubali

Eti wanasema...
Mara unagawa kwa vipande
Oh unakwenda kwa mpalange
Eti sikwezi nikajipange
Mara nikuache ukadange

Baby mi hapana, kukuacha hapana
Unachonipa hapana, mi kukikosa hapana
Baby mi hapana, kukuacha hapana
Unachonipa hapana, mi kukikosa hapana

Hushangai nishakufumania
Ila bado nimeng'ang'ania
Penzi lako limenizidia
Na mwaka huu watanizika

Na si walisema kwamba hubebeki
Leo nakubeba yaani kudadeki
Mmh afe kipa au afe beki
Nishakuwa wako liwalo liwe

Sitoshika simu yako
Ila shika yangu nimekubali
Hao hao wafiki zako
Wanokusema mimi sikubali

Eti wanasema...
Mara unagawa kwa vipande
Oh unakwenda kwa mpalange
Eti sikwezi nikajipange
Mara nikuache ukadange

Baby mi hapana, kukuacha hapana
Unachonipa hapana, mi kukikosa hapana
Baby mi hapana, kukuacha hapana
Unachonipa hapana, mi kukikosa hapana

Watch Video

About Hapana

Album : Hapana (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Sep 30 , 2021

More KUSAH Lyrics

KUSAH
Aga
KUSAH
KUSAH

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl